Habari wana JF wote,
Kwa jina naitwa Adam Ramadhani, Nina umri wa miaka 25 na kwa sasa naishi mkoani Tanga. Nimefanikiwa kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu na kupata shahada ya Uhasibu na usimamizi wa fedha yani (Bachelor of Accounting and Finance in Business Sector) Katika chuo kikuu cha...
Habari zenu wakuu,
Nmepata nafasi ya kufanya usaili kama mhasibu wa chombo ruwasa kwa wale wazoefu au wanaofahamu chochote juu ya sahili hizi naomba sana msaada wenu juu ya haya yafuatayo:
1. Kuanzia kwenye tangazo la kazi mpka kuitwa katika usahili huu lugha pekee waliyotumia ni ya kiswahili...
Habari wana JF wote;
Kwa jina naitwa Adam Ramadhani, Nina umri wa miaka 25 na kwa sasa naishi mkoani Tanga. Nimefanikiwa kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu na kupata shahada ya Uhasibu na usimamizi wa fedha yani (Bachelor of Accounting and Finance in Business Sector) Katika chuo kikuu cha...
Habari wana JF wote;
Kwa jina naitwa Adam Ramadhani, Nina umri wa miaka 25 na kwa sasa naishi mkoani Tanga. Nimefanikiwa kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu na kupata shahada ya Uhasibu na usimamizi wa fedha yani (Bachelor of Accounting and Finance in Business Sector) Katika chuo kikuu cha...
Habari wana JF,
Kwa wale ambao wamejiunga na ni investors wa MTFE na ambao wanaifaham vizuri mnaonaje uwepo wa hii platform na ni nini future aspects zake, je itaweza kuwepo kwa mda mrefu?
Ingawa mtandaoni inakua criticized sana kuwa ni scam ila imelast for a while sio kama platform nyingne...
Habari wana JF,
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema, mm ni mkazi wa tanga natafuta mfanyakaz yoyote wa huaxin Cement Nina shida naye..kama hatojali naomba sana anitext PM
Sent from my Infinix X573 using JamiiForums mobile app
Habari wana JF wote;
Kwa jina naitwa Adam Ramadhani, Nina umri wa miaka 25 na kwa sasa naishi mkoani Tanga. Nimefanikiwa kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu na kupata shahada ya Uhasibu na usimamizi wa fedha yani (Bachelor of Accounting and Finance in Business Sector) Katika chuo...
Sio uzushi, sio kwa makusudi naandika hivi sababu ni mhanga, January, February hatujalipwa ukizingatia mshahara ni 150,000/= tu, je hii ni haki jamani, na sio mara ya kwanza hii mshahara inachelewa sana kutoka na sisi ni binadam jamani ukizingatia baadhi ya maofisi wanakaa kimya hata senti...
Habari wana JF,
Mimi ni kijana ambaye kwa sasa nipo chini ya Taesa, kwa msiojua utaratibu wao ni kuwa wanakutafutia sehemu ya kufanya internship kwa mkataba wa mwaka mmoja halafu wanakulila 150k per month (Ambayo ni kipengele kwa kweli kuipata) na then mkataba ukiisha wanakuacha.
Hii kitu...
Habari zenu ndugu, Nina ndugu Yangu anafikiria kwenda kutafta maisha Uingereza kwa kufata taratbu zote yan kwa passport, visa na kila kitu, ila njia anayotaka kuitumia ni kwanza kuhakikisha anafika katika kambi ya wakimbizi huko uingereza.
Chengine ni kuwa amesoma na ana degree yake ya uhasibu...
Habari ndugu zangu,
Mimi ni kijana niliyeamua kujiajiri rasmi kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara kwa asilimia 100, nimeanza kwanza utafiti kwa kujarbu kusikiliza maoni ya watu ambao tayari weshawahi kufanya ufugaji na kujipatia uzoefu wa kutosha.
Miongoni mwa maswali yangu ni je...
Habari ndugu zangu,
Mimi ni kijana niliyeamua kujiajiri rasmi kwenye ufugaji wa kuku wa kienyeji kibiashara kwa asilimia 100, nimeanza kwanza utafiti kwa kujaribu kusikiliza maoni ya watu ambao tayari weshawahi kufanya ufugaji na kujipatia uzoefu wa kutosha.
Miongoni mwa maswali yangu ni je...
Habari ndugu zangu, niliokosea kutoa pesa kwa njia ya crdb cardless kwa kutaka kutoa 137000, kumbe ni lazma uweke katika figures za 10000, je ili pesa irudi itatumia muda gani kufika.
Habari wana JF,
Natumai wazima ndugu zangu nimekuja kuomba ushauri kuhusu bank gan hapa nchini yenye makato nafuu kwa mwezi, na pia wakati wa utoaji, na ipi yenye huduma bora sana, na yenye internet banking bora.
Pia yenye urahis wa kupatikana namaanisha ATM's nyingi. Na je what if mtu akitaka...
Habari wana jamvi,
Ndugu zangu naombeni ushauri kuhusu biashara ya kuuza sigara jumla na rejareja, pipi Kali, big G n.k. changamoto zake, mtaji upi ni mzuri, na kwa dar wapi naweza pata mzigo kwa uhakika na njia zipi ni bora za kupata wateja wa hivi vitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.