crdb

  1. C

    CRDB mpo sawa kweli?

    Mwaka jana mwishoni nilikuwa na uhitaji wa Akaunti kwa ajili ya kuingiza vipesa fulani vinavyopita mara kwa mara. Hivyo niliona vipesa hivi nivifungulie akaunti ya bank tofauti na ile nayotumia kila siku. Nikaenda tawi la CRDB mkoani kwangu kwa ajili ya kufungua akaunti, kweli nilifungua...
  2. Jamii Opportunities

    Specialist; Security Operations Center (SOC)- 2 Positions at CRDB

    Line Manager- Manager; SOC Department- Cybersecurity Location- HQ Job Summary Support in ensuring that the Bank’s information is protected in accordance with the needs of the business and according to Information Security principles of availability, integrity and confidentiality. To bring the...
  3. B

    TBL, CRDB Bank Foundation collaborate on pre-financing barley farming for the 2024 agricultural season

    Tanzania Breweries Limited (TBL), one of Tanzania’s top manufacturers and employers and a key partner in the socio-economic development of the country, has today signed a Memorandum of Understanding (MoU) with the CRDB Bank Foundation to collaboratively implement the Barley Farming Pre-financing...
  4. B

    CRDB Bank Foundation, SUGECO kuwezesha mafunzo kwa vitendo kwa wahitimu 2,500 nje ya nchi

    Katika kufungua fursa za kuongeza umahiri katika fani zao, Taasisi ya CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Sokoine University Graduate Entrepreneurs Cooperative (SUGECO) imesaini mkataba wa miaka mitatu kuwawezesha zaidi ya wahitimu 2,500 wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)...
  5. Erythrocyte

    Utaratibu uliotumika kubadili Azam Federation Cup hadi kuwa CRDB Federation cup ni upi?

    Naomba anayeufahamu auweke hapa ili na mimi nielewe Natanguliza Shukranii .
  6. Ed Kawiche

    CRDB, ATM ya Ihumwa, Magorofa Mapya haina fedha

    CRDB BANK mnalala sana! Wananchi tunaoishi Ihumwa na Mtumba huku Dodoma tunasota kwa kukosa fedha kwenye ATM yenu hapa Ihumwa Magorofa Mapya. Changamkeni, hamchoki kulalamikiwa?
  7. Manyanza

    NI CRDB Bank Federation Cup

    Bank ya CRDB na TFF imeingia mkataba wa udhamini wa miaka mitatu na nusu na CRDB itatoa shilingi Bilioni 3.76 kwa kipindi chote cha miaka mitatu na nusu, ila msimu huu watatoa dollars laki moja sawa na shilingi milioni 255, sasa Kombe la FA litaitwa CRDB BANK FEDERATION. Najiuliza 1. AZAM...
  8. JITU BANDIA

    "Kitu kimesimama!" CRDB hapa mnamaanisha nini?

    Sio Mimi!, ni CRDB bank na kauli mbiu yao mpya ya CRDB wakala "kitu kimesimama" Hivi hawa watu wa ' PR' wanaohusika na branding ya commodity Fulani... Huwa wanatunga hizi kauli-mbiu wakiwa wamelewa!? Ama wakiwa kitandani!? Kauli-mbiu za kihuni kabisa! Zisizo na staha! "Kitu kimesimama!" Maana...
  9. Uzalendo wa Kitanzania

    Benki kubwa zaidi Tanzania, CRDB yaongoza

    News Alerts: Benki kubwa zaidi Tanzania CRDB yaongoza Wadau hamjamboni nyote Takwimu mpya kabisa nimeziweka hapo chini.
  10. Jamii Opportunities

    Portfolio Manager – IT & Digital Transformation Projects at CRDB Bank March, 2024

    Position: Portfolio Manager – IT & Digital Transformation Projects Reporting To: Head of Project Management Job Summary To ensure successful delivery of IT and Digital Transformation projects in line with the approved baseline and strategy Key responsibilities: Translate the digital...
  11. B

    Benki ya CRDB yazindua huduma ya bima yenye misingi ya sharia kwa Watanzania wote

    Dar es Salaam. Tarehe 28 Februari 2024: Ikiwa na uzoefu wa takriban miaka minne sasa Benki ya CRDB imezindua huduma za bima zinazozingatia misingi ya shariah zijulikanazo kama Takaful kwa ajili ya wateja wanaofuata imani ya Kiislamu na wananchi wengine wanaozingatia misingi ya dini hiyo...
  12. Jamii Opportunities

    Specialist Network and Security at CRDB Bank February, 2024

    Position: Specialist Network and Security Job reporting to: Senior Manager ICT Location: CRDB Bank Burundi S.A. No of positions: 1 Principal Responsibilities Perform analysis of network infrastructure and contribute towards design, integration, and enhancements as well as configuration of...
  13. Jamii Opportunities

    Specialist: Server & Database Administrator at CRDB Bank February, 2024

    Position: Specialist; Server & Database Administrator Job reporting to: Senior Manager ICT Location: CRDB BANK Burundi S.A. No of positions: 1 Principal Responsibilities Perform daily database administration activities including configuration & monitoring, space management, capacity planning...
  14. B

    Benki Ya CRDB yaendesha Semina Kuwajengea Uwezo Waandishi Wa Habari Kuandaa Taarifa zitakazochochea Ujumuishi Wa Kifedha nchini

    Dar es Salaam 19 February 2024 – Katika jitihada za kuendeleza sekta ya habari nchini, Benki ya CRDB imeendesha semina maalum kwa wadau wa sekta ya habari nchini na uchumi “CRDB Bank Media Day” iliyofanyika katika Makao Makuu ya benki hiyo yaliyopo barabara ya Ali Hassan Mwinyi. Akifungua...
  15. Replica

    Pamoja na faida kubwa mabenki ya Kenya, mikopo chechefu yatishia uimara wake. Benki zetu kubwa mbili hazifanani nao?

    Taasisi ya Moody's inayohusika kutoa muono kwenye soko la mikopo na madeni imebadilisha maoni yake kuhusu hali ya mabenki ya Kenya kutoka imara mpaka hasi ikitoa tahadhari juu ya kiwango kikubwa cha mikopo chechefu na isiyofanya vizuri pamoja na faida kubwa na mtaji imara ambacho mabenki ya...
  16. B

    Wateja Benki ya CRDB kuzawadiwa zawadi za Sh. Milioni 470 kampeni ya Benki ni SimBanking

    Dar es Salaam. Tarehe 31 Januari 2024: Katika jitihada zake za kuhamasisha matumizi ya mifumo ya kidijitali nchini, Benki ya CRDB imezindua msimu wa tatu wa kampeni ya ‘Benki ni SimBanking’ na kutenga jumla ya zawadi zenye thamani ya Shilingi milioni 470 mamilioni kwa wateja wake mwaka huu...
  17. Jamii Opportunities

    Senior Manager Agency Banking Business at CRDB January, 2024

    Position: Senior Manager Agency Banking Business Job Reporting To: Head of Agency Banking Job Purpose Responsible for Driving the overall performance of the agency banking business by providing leadership in areas of Sales and Retention to increase usage, agent footprint, and Revenue. Act as...
  18. Black Legend

    CRDB SIM BANKING APP NINI SHIDA?

    Ni muda mrefu Sasa tangu kuletetwe new version ya sim bank application ya CRDB , tatizo la app hii ni kutofungika na kuonesha blank vision na kugoma kufunguka kabisa,,,nini shida hapa??
  19. B

    Taasisi ya CRDB Bank Foundation, UNDP kuwajengea uwezo wajasiriamali fursa za AfCFTA

    Dar es Salaam. Tarehe 16 Januari 2024: Katika kuimarisha uwezo wake na ushirikishaji wa wadau, Taasisi ya CRDB Bank Foundation imesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP). Mkataba huo wa miaka mitano unakusudia kufanikisha uwezeshaji wananchi hasa...
  20. cleokippo

    CRDB Bank na makato ya matumizi ya kadi za ATM

    Nimeandika kwa masikitiko makubwa sana, last two weeks nilienda kuangalia salio la acc yangu crdb bank, nikakuta sehemu flan ya pesa imepungua nikakaa kimya Leo hii tena tar 14 nikasema niangalie tena salio nikakuta pia sehemu ya pesa imepungua, uzalendo ukanishinda ikabid niwapigie huduma...
Back
Top Bottom