natafuta mpenzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. majebsmafuru

    Natafuta mpenzi wa kike mtu mzima

    Nina miaka 55, mfupi 5 7, mfanyabiashara, naishi Dar, Nina watoto wakubwa, wanaishi kivyao na kwa mama yao. Nahitaji mpenzi wa kike tupendane. Maswali zaidi uliza inbox tafadhali
  2. N

    Natafuta mpenzi

    Jina: John Kazi: religious Makazi: Dar na Zanzibar Umri: 34 Natafuta mwanamke wa kuingia naye kwenye mahusiano akiwa na maisha yake itapendeza zaidi. Sijachagui dini, kabila, Wala rangi cha muhimu upendo. Asinitegemee sana maana sina kikubwa cha kumpa zaidi ya upendo na Muda wangu. Kwa Aliye...
  3. Danp36

    Natafuta mpenzi, baadaye mke

    Habari, Mimi ni mkazi wa Dar es salaam Umri - 33.6 Kazi - Ajira/biashara Dini - Mkristo Elimu - Masters Rangi - mweusi na mrefu kiasi Mtoto - Sina mtoto Natafuta binti Umri - 24 hadi 29 Kazi - Sio lazima Elimu - Form 4 na kuendelea Dini - Ikipendeza mkristo dhehebu lolote ila mcha Mungu sana...
  4. Aziwero

    Natafuta mpenzi (KE)

    Kama header inavyojieleza,mimi ni kijana wa miaka 25 asili yangu ni Mnyakyusa lakini makazi yangu rasmi ni Dar. .Elimu:Degree .Kazi: Nimejiajiri,nina duka la simu. Natafuta mwanamke kwa ajili ya kuwa kwenye mahusiano serious. Umri kuanzia miaka 19-26. NB; Uwe Dar. PM kwa ajili ya kupeana...
  5. Koffi Annan

    Mwanaume, natafuta mpenzi

    Mimi ni mwanaume, umri miaka 24 natafuta mpenzi awe mzuri mweusi au mweupe, umri wowote. Akiwa Dar itapendeza.
  6. M

    Natafuta mpenzi wa kuifaurahia Dunia pamoja

    Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28, natafuta mwanamke serious ambaye twaweza kuwa wapenzi. Ninaishi Dar. Napenda huyo mwanamke awe na vigezo vifutavyo; Umri: 22-30 Elimu : yoyote Rangi : yoyote Location: :Dar Asiwe mwanafunzi wa chuo. Aliyeserious ani pm nitampa mawasiliano yangu.
  7. The bump

    Natafuta Mpenzi wa kike Mwenye uwezo Kipesa (Financialy Stable)

    Sifa za nimtakae (Mwanamke) Vigezo vyake : Dini : yoyote ile sijali Mtoto : Akiwa nae asizidi mmoja Kazi : Awe mfanyabiashara/Muajiriwa vyovyote ila Ki uchumi awe vyema (Akiwa Mfanyabiashara ningefurahi zaidi) Umri : 25-35YRS Umbo : Asiwe mnene (BONGE) awe wa kawaida Rangi : Yoyote Elimu ...
  8. Mzee wa Malengo

    Natafuta mpenzi wa malengo

    Kwa kifupi kuna mengi ambayo nimefikiria mpaka kuandika Andiko hili Kama utaona kuna binti au linakufa wewe mwanamke basi pm yangu iko wazi Na ni serious Kwa kifupi Mimi ni kijana umri miaka 28, ninaishi katika moja ya wilaya mkoani mbeya Nimeajiriwa kampuni binafsi na pia ninajishughulisha na...
  9. J

    Natafuta mpenzi mtu mzima

    Akiwa na mtoto au watoto amezaa ni vizuri. Akiwa aliachika katika ndoa na angalau alipewa taraka itapendeza zaidi. Asiwe chini ya miaka 35 na asifike 55. Dini yake yoyote aendelee nayo. Mi situmii pombe na yeye ajitathimini. Awe ni mnene wa shep au awe na mzigo. Awe anaishi Dar au jirani...
  10. Mpongolo

    Natafuta mpenzi (Mke)

    Awe na sifa zifuatazo: Umri 20-25 Muislam Mweupe Mwenye elimu yeyote Mchapakazi Mkazi wa Dar es salaam Umri wangu 26 Nmejiajiri fundi AC Naishi Tegeta Njoo pm kma upo tayari
  11. R

    Natafuta mpenzi wa kike mwenye virusi vya Ukimwi

    Habari zenu wakuu. Najitokeza kwenu mimi ni kijana wa kiume umri miaka 27. Ninaishi Dar es Salaam. Ninatafuta mchumba wa kike mwenye maambukizi ya virusi lakini awe anatumia ARVs. Mambo mengine tutaelezana PM. Dini si muhimu sana kwangu. Mimi mwenyewe siishi na maambukizi ieleweke. Dira...
Back
Top Bottom