Nina miaka 55, mfupi 5 7, mfanyabiashara, naishi Dar, Nina watoto wakubwa, wanaishi kivyao na kwa mama yao.
Nahitaji mpenzi wa kike tupendane.
Maswali zaidi uliza inbox tafadhali
Jina: John
Kazi: religious
Makazi: Dar na Zanzibar
Umri: 34
Natafuta mwanamke wa kuingia naye kwenye mahusiano akiwa na maisha yake itapendeza zaidi. Sijachagui dini, kabila, Wala rangi cha muhimu upendo. Asinitegemee sana maana sina kikubwa cha kumpa zaidi ya upendo na Muda wangu. Kwa Aliye...
Habari,
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam
Umri - 33.6
Kazi - Ajira/biashara
Dini - Mkristo
Elimu - Masters
Rangi - mweusi na mrefu kiasi
Mtoto - Sina mtoto
Natafuta binti
Umri - 24 hadi 29
Kazi - Sio lazima
Elimu - Form 4 na kuendelea
Dini - Ikipendeza mkristo dhehebu lolote ila mcha Mungu sana...
Kama header inavyojieleza,mimi ni kijana wa miaka 25 asili yangu ni Mnyakyusa lakini makazi yangu rasmi ni Dar.
.Elimu:Degree
.Kazi: Nimejiajiri,nina duka la simu.
Natafuta mwanamke kwa ajili ya kuwa kwenye mahusiano serious. Umri kuanzia miaka 19-26.
NB; Uwe Dar.
PM kwa ajili ya kupeana...
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28, natafuta mwanamke serious ambaye twaweza kuwa wapenzi. Ninaishi Dar.
Napenda huyo mwanamke awe na vigezo vifutavyo;
Umri: 22-30
Elimu : yoyote
Rangi : yoyote
Location: :Dar
Asiwe mwanafunzi wa chuo.
Aliyeserious ani pm nitampa mawasiliano yangu.
Sifa za nimtakae (Mwanamke) Vigezo vyake :
Dini : yoyote ile sijali
Mtoto : Akiwa nae asizidi mmoja
Kazi : Awe mfanyabiashara/Muajiriwa vyovyote ila Ki uchumi awe vyema (Akiwa Mfanyabiashara ningefurahi zaidi)
Umri : 25-35YRS
Umbo : Asiwe mnene (BONGE) awe wa kawaida
Rangi : Yoyote
Elimu ...
Kwa kifupi kuna mengi ambayo nimefikiria mpaka kuandika Andiko hili
Kama utaona kuna binti au linakufa wewe mwanamke basi pm yangu iko wazi
Na ni serious
Kwa kifupi
Mimi ni kijana umri miaka 28, ninaishi katika moja ya wilaya mkoani mbeya
Nimeajiriwa kampuni binafsi na pia ninajishughulisha na...
Akiwa na mtoto au watoto amezaa ni vizuri.
Akiwa aliachika katika ndoa na angalau alipewa taraka itapendeza zaidi.
Asiwe chini ya miaka 35 na asifike 55.
Dini yake yoyote aendelee nayo.
Mi situmii pombe na yeye ajitathimini.
Awe ni mnene wa shep au awe na mzigo.
Awe anaishi Dar au jirani...
Awe na sifa zifuatazo:
Umri 20-25
Muislam
Mweupe
Mwenye elimu yeyote
Mchapakazi
Mkazi wa Dar es salaam
Umri wangu 26
Nmejiajiri fundi AC
Naishi Tegeta
Njoo pm kma upo tayari
Habari zenu wakuu. Najitokeza kwenu mimi ni kijana wa kiume umri miaka 27. Ninaishi Dar es Salaam. Ninatafuta mchumba wa kike mwenye maambukizi ya virusi lakini awe anatumia ARVs. Mambo mengine tutaelezana PM. Dini si muhimu sana kwangu.
Mimi mwenyewe siishi na maambukizi ieleweke.
Dira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.