Habari wakuu,
Lipo eneo la biashara Morombo sokoni ambalo halijakamilika kujengwa. Ni chumba kikubwa kimejengwa kufikia lenta.
Kama una shamba maeneo ya mikoa ya Arusha, Manyara au Kilimanjaro karibu tufanye mabadilishano.
Ukubwa wa shamba utakaokubalika kwa mabadilishano utategemea na mahali...
Hamas pamoja na kuendelea na vita kwa mwezi wa tatu bado wako makini vichwani mwao kuhusiana na hadaa zozote dhidi yao.
Rais Isaac Hezrog wa Israel akizungumza na mabalozi wa nchi 85 jana aliwaahidi kwamba nchi yake inaendelea na mazungumzo ili kuongeza kiwango cha misaada inayoingia Gaza na...
Vuguvugu la maendeleo ulaya (the age of enlignment) lilianzia vijiweni na kwenye saloon ambapo watu walikutana kujadili ideas. Kwenye vijiwe vya kimasonic (Masonic Clubs ) pia ilikuwa ninsehemu walipokutana kupeana updates.
Muachane na vijiwe vya betting.
Vijiwe wa unywaji bia, na ulaji wa...
Tangu vita vianze upya baada ya ukimya wa siku 7 wakati wa kubadilishana mateka Hamas imeendelea kurusha maroketi ya masafa marefu kutokea ndani ya Gaza ambayo yanaufikia mji mkuu wa Israel wa Tel Aviv.
Kwa mujibu wa Allan Fisher ,mpashaji habari wa aljazeera makombora kadhaa yaliyorushwa hapo...
Wanaukumbi.
Maafisa wa Hamas 'wanakaribia kufikia makubaliano ya mapatano' na Israel na kundi hilo limetoa majibu yake kwa wapatanishi wa Qatar, Ismail Haniyeh alisema katika taarifa.
Taarifa hiyo haikutoa maelezo zaidi, lakini afisa wa Hamas aliiambia Televisheni ya Al Jazeera kwamba...
Mwalimu wa sekondari unaefundisha masomo ya arts, unayehitaji kuhamai Dodoma jiji kutoka moja kati ya maeneo haya:
*DSM-Temeke,
* Kibaha mji
* Mkuranga
Tuwasiliane 👇👇kuna mwalimu yupo Dodoma jiji, anatafuta wa kubadilishana nae.
Contact: 0789-65-62-65
Nahitaji mtu wa kubadilishana nae kituo Cha kazi. Yeye aje ileje(Itumba hospitali ya wilaya ) mkoani Songwe. Mimi niende Buchosa Sengerema au Nzera ya Geita. Idara ya afya(C/O).
Lugha ya kufundishia inabidi kuwa kingereza lakini mmeamua kupiga siasa.
Wanafunzi kufundishwa masomo kuhusu wazungu jinsi walivyowatesa it's none sense. Futeni masomo ya History wanafunzi wasome history ya Tanzania na Dunia kwa Mambo ya msingi na sio kumwambia Mtoto eti katokana nyani.
So...
Mtu wa kubadilishana kituo cha kazi anahitajika, mimi nipo Dodoma Mpwapwa DC.
Kituo ni kizuri, mazingira mazuri, maji yapo, usafiri upo 24hrs. Wa kubadilishana nae awe mikoa ifuatayo;
1. Iringa
2. Mbeya
3. Morogoro
HABARI NDUGU ZANGU WANA JF
...NATAFTA MWALIMU WA KUBADILISHANA KITUO CHA KAZI YEYE AJE MBULU MJI MIMI NIENDE ARUSHA AU KILIMANJARO LAKINI HATA BABATI TAKUA NMESOGEA SOGEA. ASANTEN. Phy & Chem
SIMU: 0623450048/ 0746443601
Urusi wameachia makomando wakiwemo wale wa Marioupol 215 ili kubadilisha na Warusi 50, raia wa Urusi wamekerwa sana yaani nchi yao imefika mpaka kwenye kudhalilika kiasi hiki.....
Aprisoner exchange between Russia and Ukraine that included senior Ukrainian commanders was hailed as a victory by...
Habari wana JF.
Mimi ni mtumishi wa umma Mteknolojia maabara msaidizi niliepo Mtwara DC naomba kubadilishana na mtumishi alieko tayari kutoka halmashauri ya Chalinze.
0656797325
Naomba ushirikiano wenu wakuu
Habari;
NATAFUTA MWALIMU WA KUBADIRISHANA NAYE KITUO CHA KAZI,
YEYE AJE KIGOMA MJINI NA MIMI NIENDE MWANZA MJINI, MISUNGWI MJINI AU SENGEREMA MJINI.
IDARA: ELIMU SEKONDARI.
MASOMO: NI HISTORY,ENGLISH NA KISWAHILI
Urusi imeonesha dalili za kuwa tayari kwa mazungumzo ya kubadilishana wafungwa siku moja baada ya Mahakama ya Urusi kumuhukumu mchezaji wa kikapu wa Marekani, Brittney Griner kifungo cha miaka tisa jela.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov amesema wapo tayari kwa mazungumzo hayo kwa...
Mimi naitwa Mwl.ELIUD Ndewirwa Pallangyo.
Tsc no yangu ni N.40925 nipo idara elimu secondary (nipo Mwanza Nansio) ninaomba kupata mtu
wakubadilishana nae kituo au sehem ninayo fanya kazi mimi niende mkoa mmoja wapo kati ya iyo hapo.
1 Dodoma 2.Arusha 3.manyara 4.pwani 5.Tanga 6.morogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.