Rangooo
Senior Member
- Feb 12, 2022
- 196
- 322
Habari wana JF,
Mimi ni kijana ambaye kwa sasa nipo chini ya Taesa, kwa msiojua utaratibu wao ni kuwa wanakutafutia sehemu ya kufanya internship kwa mkataba wa mwaka mmoja halafu wanakulila 150k per month (Ambayo ni kipengele kwa kweli kuipata) na then mkataba ukiisha wanakuacha.
Hii kitu haimake sense kabisa kwani Taesa wanafanyia vijana interview kama vile utumishi na isitoshe Taesa ipo chini ya serikali najiuliza kwanini hawa vijana wasipewe kipaumbele na PSRS kwenye ajira, mwishowe wanawatumikisha na kuwapotezea tu muda.
Siwafichi jamani sisi vijana wa Taesa tunateseka huku maofisin tunatumikishwa na hela pia zinachelewa lkn serikali hii inakaa kimya kabisa ni as if hii taasisi haina vision, sabb mtu ana experience na bado anatelekezwa this is not right.
MAMA SAMIA NA WIZARA YA UTUMISHI NA KAZI KAMA MNASOMA HILI NAOMBA MLIFANYIE KAZI, kamwee kijana aliotoka internship chini ya Taesa kwa interview juu huwez kumtelekeza kirahisi na kumuacha apotee mtaani na wakat tayar anajua system ya kazi na isitoshe ni kama serikali imemu overuse.
NB: AMBAE HAUPO TAESA NA HUPITII HILI USICOMENT UJINGA SABB HUJUI TUNACHOPITIA.
Mimi ni kijana ambaye kwa sasa nipo chini ya Taesa, kwa msiojua utaratibu wao ni kuwa wanakutafutia sehemu ya kufanya internship kwa mkataba wa mwaka mmoja halafu wanakulila 150k per month (Ambayo ni kipengele kwa kweli kuipata) na then mkataba ukiisha wanakuacha.
Hii kitu haimake sense kabisa kwani Taesa wanafanyia vijana interview kama vile utumishi na isitoshe Taesa ipo chini ya serikali najiuliza kwanini hawa vijana wasipewe kipaumbele na PSRS kwenye ajira, mwishowe wanawatumikisha na kuwapotezea tu muda.
Siwafichi jamani sisi vijana wa Taesa tunateseka huku maofisin tunatumikishwa na hela pia zinachelewa lkn serikali hii inakaa kimya kabisa ni as if hii taasisi haina vision, sabb mtu ana experience na bado anatelekezwa this is not right.
MAMA SAMIA NA WIZARA YA UTUMISHI NA KAZI KAMA MNASOMA HILI NAOMBA MLIFANYIE KAZI, kamwee kijana aliotoka internship chini ya Taesa kwa interview juu huwez kumtelekeza kirahisi na kumuacha apotee mtaani na wakat tayar anajua system ya kazi na isitoshe ni kama serikali imemu overuse.
NB: AMBAE HAUPO TAESA NA HUPITII HILI USICOMENT UJINGA SABB HUJUI TUNACHOPITIA.