Watu wengi hasa vijana wamekua wakipinga kwanguvu na kwa lugha ngumu na msisitizo kuwa Bandari isipewe wawekezaji.
Je kuna uhusiano kuwa wengi wao na ndugu zao wananufaika na ajira za Bandarini na mishe mishe za pale ambazo wanahisi muwekezaji itakua ndo mwisho wa wao kula?
Je ukosefu wa ajira...
Wakuu habari
Mwenye uelewa na Likizo bila malipo kwa watumishi kama wa afya, elimu na serikali kuu anieleweshe
Je kuna ukomo
Je utaratibu ukoje.
Asante
Wakuu habari, poleni na majukumu ya hapa na pale.
Umepewa 5,000,000 na umeambiwa uchague kuanzisha kati ya biashara zifuatazo.
Uuzaji wa chuma za aluminums na vifaa vyake
Duka la simu na accessories zake
Duka la vifaq vya ujenzi
Unahitajika ushauri, maoni, mapendekezo, uzoefu
Kama kuna kitu kingetegeshwa ili kugharimu maisha ya mamilioni ya vijana wa Tanzania, nini kingetumika kati ya hivi[emoji116]
[emoji3591]iPhone 14 pro ya bure
[emoji3591]Nafasi ya Ajira ya benki
[emoji3591]Shamba la bure
[emoji3591]Degree ya theolojia bure
[emoji3591]Mkopo wa USD $400...
Wakuu naombeni msaada wa mawazo na wa haraka, nyuki wameua mifugo yote jana
Pia mjakazi amelazwa kwa kushambuliwa na. Nyuki,
Nyuki wapi juu ya dari, yani kwenye jipsam bodi juu, siwez kuwasha moto huko juu
Wana miaka kama miwili hukonjuu,
Niwaue kwa dawa gani na nifanyeje wasije kurudi tena...
Naomba kujuzwa kama naweza kusoma sheria huku nikiwa sipo chuoni moja kwa moja. Yaani nikiwa naendelea na shughuli zingine.
Naomba list ya vyuo kama vipo, vya Tanzania pekee, gharama na jinsi ya kujiunga. Asanteni.
Naomba kufahamu, iwapo nitafungua kampuni yangu nitalipa Kodi kwa utaratibu sawa na ambaye hana kampuni?
Nimesikia mara kadhaa kua kampuni inalipa Kodi kulingana na faida inayopata, je ni sahihi?
Asante.
Habari zenu,
Je, website gani naweza kutengeneza site na blogu bure au kwa gharama nafuu ambazo zinawea kupatikana kwenye google search. Yaani niki-search Google niweze kuiona website au blogu yangu.
Pia naomba kufahamu ni namna gani naweza ku-publish content za blogu yangu kwenye Opera News...
Wakuu nawasalimu kwa lugha zote,,
Mmiliki wa ya friji tajwa hapo juu anahitaji feni lake la mlango wa juu sehemu ya kupozea.
Pia anaomba msaada na ushauri wa kiufundi juu ya ulaji mkubwa wa umeme wa friji hii tofauti na ilivyokua mpya. Yan umeme unit za 1500/= per day.
Ndugu zangu nimekaa na haya mawe since niko under 18 mpaka sasa nina umri wa makonda, najiuliza ni madini au nini, kama ni madini je yanathamani?je yanatumika kufanya nini, kazi yake),,
kama ni madini niambieni, nisije nkapeleka soko la madini nikasukumwa ndani kwa kosa la kutaka kujipatia...
Wakuu Naomba kujua ya nilivyotaja hapa juu,
Namna ya kuanzisha moja wapo, gharama, utaratibu wa malipo na uendeshaji. Asante.
Kama nimekosea nirekebishe.
Asante.
Wakui habari,
Hakuna chanzo kizuri cha habari, taarifa na maarifa utaorodhesha hapa Tz bila ukaicha, JF,
Miaka kadhaa ninakwama kununua gari kutokana na sababu binafsi, nakua na subra,
Mwezi wa tatu huu, nimetuliza akili napita huko be4ward, kupatana, olx, jiji, zoom hapa jf kujifunza...
Ndugu watanzania naomba kufahamu kama mamlaka zimeripoti visa vya dengue huko Morogoro hasa maeneo ya ndani ndani,
Hivi naandika hapa kuna ndugu yangu alikuwa huko, juzi ameanza safari ya kuja singida, amekwamia Dodoma, anaumwa sana,
Kapima kapatikana na malaria, kapewa Dawa kama SP, Katumia...
Naomba kufahamu gharama za kufungua YouTube channel kwa sasa, maaana nimeshuhudia kwenye media baadhi ya watu wakiburuzwa mahakamani kwa kutokua na vibali vya kuchapisha maudhui YouTube hapa tz.
Sielewi chochote mwenye information basi ashee nami. Asante.
Watanzania wenzangu hamjambo, kwa wale wenye stress kama Mimi poleni, tujipe moyo.
Naomba kwa wale wanaohahamu vizuri chuo cha DIPLOMASIA kiichopo pale kurasini watujuze.
Wengine Dar hatupajui,
Je,
Chuo hichi kina mfumo gani?
Kuna hostels au unapanga,
Je kuna Uhuru wa mtu kufanya haakati...
Ndugu wana jf habari za mapumziko ya sikukuu?
Ninaomba kwa aliyefanikiwa ku set Chanel za IPP toka mabadiliko ya May 31 atusaidie.
Tunafanya installation kama walivyoelekeza ila hakuna signals,
Je kuna haja ya Ku adjust uelekeo wa dish, au vinginevyo, tupeni msaada tafadhali.
Asante.
Poleni watanzania wote kwa misiba iliyotufika mwezi huu.
Natumai hamjambo.
Kama nitakuwa nimeeleweka, Naomba kwa mwenye kufahamu nililowasilisha anisaidie kutafsiri sheria au anipe mawazo.
Je iwapo nimepeleka viambata vyote husika kwa muhusika anayeshughulikia masuala ya code za uwakala...
Hamjambo,
Naamimi kuwa wapo watu ambao matumizi ya kondomu ni changamotoa kwao. Im the one!
Siwaaminishi kuwa kumpima mtu HIV nakumpata yuko salama kuwa ni tiketi yakutotumia kinga "condom" *hapana*
Kuna magonjwa mengne mengi ya ngono kama kaswende, gonorea na hata HPV au Hepatitis.
Hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.