goodfool
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 1,664
- 993
Ndugu zangu nimekaa na haya mawe since niko under 18 mpaka sasa nina umri wa makonda, najiuliza ni madini au nini, kama ni madini je yanathamani?je yanatumika kufanya nini, kazi yake),,
kama ni madini niambieni, nisije nkapeleka soko la madini nikasukumwa ndani kwa kosa la kutaka kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu.
nawasilisha.
kama ni madini niambieni, nisije nkapeleka soko la madini nikasukumwa ndani kwa kosa la kutaka kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu.
nawasilisha.