goodfool
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 1,664
- 993
Wakuu naombeni msaada wa mawazo na wa haraka, nyuki wameua mifugo yote jana
Pia mjakazi amelazwa kwa kushambuliwa na. Nyuki,
Nyuki wapi juu ya dari, yani kwenye jipsam bodi juu, siwez kuwasha moto huko juu
Wana miaka kama miwili hukonjuu,
Niwaue kwa dawa gani na nifanyeje wasije kurudi tena maishani.
Asanteni sana,
Help help
Pia mjakazi amelazwa kwa kushambuliwa na. Nyuki,
Nyuki wapi juu ya dari, yani kwenye jipsam bodi juu, siwez kuwasha moto huko juu
Wana miaka kama miwili hukonjuu,
Niwaue kwa dawa gani na nifanyeje wasije kurudi tena maishani.
Asanteni sana,
Help help