Ukweli ndiyo huo. Likizo bila malipo zimekufa kifo cha mende labda kama wewe umeolewa na mwana diplomasia na amepangiwa kazi nje ya nchi ndo utapewa kirahisi. Kwahiyo njia rahisi ya kuold ajira ni kukopa tena kopa hadi 1/3 halafu andika barua ya kuacha. Hakikisha umeandika barua.Mzaha