goodfool
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 1,664
- 993
Poleni watanzania wote kwa misiba iliyotufika mwezi huu.
Natumai hamjambo.
Kama nitakuwa nimeeleweka, Naomba kwa mwenye kufahamu nililowasilisha anisaidie kutafsiri sheria au anipe mawazo.
Je iwapo nimepeleka viambata vyote husika kwa muhusika anayeshughulikia masuala ya code za uwakala (Till) kwa kampuni husika, na taarifa hizo (attachments) zikatumika kuzalisha Till zaidi ya moja nakuuzwa kwa watu wengine ni hatua gani za kisheria naweza kuchukua?
Kama ni malalamiko naweza yapeleka TCRA au kitengo gani?
Na kama sina ushahidi wa vidhibiti, nawezaje kuthibitisha madai yangu,
Je naweza kutumia kitu gani kama kidhibiti endapo sijapata Laini husika?
Kwakuwa wapo watu wenye akili pana humu watakua wamenielewa na natumaini nitapata majibu ambayo ni ANTIBIOTIC because I know JF how it is.
Asanteni.
Natumai hamjambo.
Kama nitakuwa nimeeleweka, Naomba kwa mwenye kufahamu nililowasilisha anisaidie kutafsiri sheria au anipe mawazo.
Je iwapo nimepeleka viambata vyote husika kwa muhusika anayeshughulikia masuala ya code za uwakala (Till) kwa kampuni husika, na taarifa hizo (attachments) zikatumika kuzalisha Till zaidi ya moja nakuuzwa kwa watu wengine ni hatua gani za kisheria naweza kuchukua?
Kama ni malalamiko naweza yapeleka TCRA au kitengo gani?
Na kama sina ushahidi wa vidhibiti, nawezaje kuthibitisha madai yangu,
Je naweza kutumia kitu gani kama kidhibiti endapo sijapata Laini husika?
Kwakuwa wapo watu wenye akili pana humu watakua wamenielewa na natumaini nitapata majibu ambayo ni ANTIBIOTIC because I know JF how it is.
Asanteni.