cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,738
- 189,091
Tofauti mmoja ni betina na mwingine ni bonge nyanya,si ajabu wao washaongea tayari .Kama ni kweli na harusi ikiwadia Mama D na Khadija Kopa sijui nani amemzidi mwenzake Uswahili.
duuu kwani lokole ni chakula ya brooZuchu ujitahidi kuzungusha kiuno hadi juu ya dari, umzalie mapacha watatu labda atatulia, ila uwe makini mke mwenzio Lokole ana wivu huyo balaaaa.