Zubaa ulizwe... Stori Katika picha

Zubaa ulizwe... Stori Katika picha

Halafu mchana kweupee..mi huwa naumiaga sana mwizi akiuliwa..lakini mda mwingine naona hakuna namna
Halafu anakuonyesha dole LA kati..

Isakeni hiyo pikipiki kwa hiyo plate namba yake..mmiliki akamatwe kwa kutumia Mali yake kufanya uhalifu na unyan'nganyi.inawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ya kukwapuana simu yapo sana Morogoro, Dsm na Arusha.
Nooma sana
Kuna mdada siku moja tulikua nae kwenye dala dala anachati na Ki iphone chake halafu kadumbukiza kidole kwenye vile vi Pete kwenye haya ma cover ya siku hizi..Bahati mbaya alikua kakaa Dirishani Mimi maskini ya Mungu nimeingia kwenye daldala nimekosa siti Nimesimama.

Dada anaperuzi na kudadisi Alitokea msela mmoja Anauza maji nnje akapita Trip ya kwanza nikamuona Trip ya Pili akapita hana Maji alipita na ile simu ya yule dada Bado kidogo amtoe kidole dada wa watu..Sista badala ya kulia "simu yangu simu yangu" akawa anaita "kidole changu kidole changu" badae ndo BEAT likwa na chemistry nzury akaanza kulia vizuri "Simu yangu kidole changu,simu yangu kidole changu"

wabongo tulivyo waoga hadi tulosimama walokua wanachat kuskia mtu kaporwa simu eti wakaacha kuchat wakaingiza simu mifukoni...Gari likaanza na story mpk tunafika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wa kuonea huruma hawa
Halafu mchana kweupee..mi huwa naumiaga sana mwizi akiuliwa..lakini mda mwingine naona hakuna namna
Halafu anakuonyesha dole LA kati..

Isakeni hiyo pikipiki kwa hiyo plate namba yake..mmiliki akamatwe kwa kutumia Mali yake kufanya uhalifu na unyan'nganyi.inawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Unknown device
 

Ni muhimu sana kumiliki silaha za moto(kihalali lakini), hapo unaitoa tu unampasua mtu kichwa na maisha yanaendelea.
 
Ndio maana mm tukiwakamata hawa tunawakata mshipa wa kisigino miguu yote miwili halafu nachukua maji unamjaza sikioni huku ukimshindilia makofi masikion maji yale yakizama sikion kwa pressure yanaenda kupasua ngoma ya sikio.... Halafu mnamwachia... Akitoka hapo anakuwa kiziwi na kitembea hawezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo unajiona unaaakili mwenyewe.Hayo mngekuwa mnawafanyia wanaowaibia mabilioni ya kodi zenu mngekuwa mmefanya jambo la maana,sio kumuua kibaka aliyeiba tekno ya laki mbili tena bila silaha.Kwanza ukute hata wewe mwizi tu,eidha unaibia ofisi,unaiba mke wa mtu etc.Kama hujawahi kuiba chochote katika maisha yako hapo unaweza kunyooshea wengine vidole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo unajiona unaaakili mwenyewe.Hayo mngekuwa mnawafanyia wanaowaibia mabilioni ya kodi zenu mngekuwa mmefanya jambo la maana,sio kumuua kibaka aliyeiba tekno ya laki mbili tena bila silaha.Kwanza ukute hata wewe mwizi tu,eidha unaibia ofisi,unaiba mke wa mtu etc.Kama hujawahi kuiba chochote katika maisha yako hapo unaweza kunyooshea wengine vidole.

Sent using Jamii Forums mobile app
Majizi utayajua tu.....
Nikahangaike kukimbizana na mtu aliyeiba mali ya umma ila nimuache aliyeniibia Mali yangu ambayo nmeitafuta kwa jasho bila hata kulala..
Kuwa serious jombaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha mkuu mbona umeichukulia hili personal!! Linagusa maslahi binafsi nini?
Hapo unajiona unaaakili mwenyewe.Hayo mngekuwa mnawafanyia wanaowaibia mabilioni ya kodi zenu mngekuwa mmefanya jambo la maana,sio kumuua kibaka aliyeiba tekno ya laki mbili tena bila silaha.Kwanza ukute hata wewe mwizi tu,eidha unaibia ofisi,unaiba mke wa mtu etc.Kama hujawahi kuiba chochote katika maisha yako hapo unaweza kunyooshea wengine vidole.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Unknown device
 
Kwa ushahidi kama huu wa plate number hao vibaka wangekuwa mfano. Police wawashughulikie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom