Zubaa ulizwe... Stori Katika picha

Zubaa ulizwe... Stori Katika picha

Mgirik ulixhofanya sio fair asee,,, nmecheka sana hadi jamaa zangu wameshindwa kunielewa kabisa licha ya kuwaelezea tukio!
SIPATI PICHA UNAVYOSHINDILIA MAJI SIKIONI KWA MAKOFI,, AF MAJI YANAPASUA NGOMA YA SIKIO! Hiki ndio kilicho nivunja mbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wanatia hasira hao acha kabisa....
Siku moja walimburuza chini mke wangu tena akiwa mja mzito akiwa wanang'ang'aniana mkoba.....
Bahat mbaya hakukariri namba ya pikipiki hao vijana ukiwakamata usipige kelele ni kumalizana nao kimya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania bwana! Tuna shida sana. Hatutaki hata kidogo kushughulisha akili zetu. Kweli umeamini hili ni tukio la wizi hili? Mwizi anaichukua simu kama mtu anayepewa simu na mama mkwe wake? Kibaka wa simu anavyonyakuwa simu wakati wa uporaji unafikiri picha itatoka namna hiyo?
Hii picha wamepiga kwa kuigiza halafu hawajaipatia hata kidogo! Ni mbumbumbu atakayeamini hili ni tukio la wizi. Kwa kifupi hawajui ku-act kama watu wa Bongo Movies!
Unataka kusema matukio kama Haya hayapo Tanzania?
Hapa Hata kama tukio ni la kuigiza lakn ni miongoni mwa majanga ya mitaani hasa Bodaboda dhidi ya watembea kwa miguu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa mwizi kama huyo akuanguka na pikipiki, akashushiwa kipigo heavy kuna mtu wa kumuonea huruma?
 
Ndio maana mm tukiwakamata hawa tunawakata mshipa wa kisigino miguu yote miwili halafu nachukua maji unamjaza sikioni huku ukimshindilia makofi masikion maji yale yakizama sikion kwa pressure yanaenda kupasua ngoma ya sikio.... Halafu mnamwachia... Akitoka hapo anakuwa kiziwi na kitembea hawezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kisa simu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom