Utafkiri movie hiyo kumbe tukio kabisa
Hakuna maslahi yoyote binafsi.Kimantiki tecno ya laki haiwezi kuwa na thamani kubwa kuliko uhai wa mtu,kumuua kibaka kisa kakwapua simu ama pochi sio jambo sahihi,kwa wasio na busara hawawezi kunielewa.Haha mkuu mbona umeichukulia hili personal!! Linagusa maslahi binafsi nini?
Sent using Unknown device
Hakuna maslahi yoyote binafsi.Kimantiki tecno ya laki haiwezi kuwa na thamani kubwa kuliko uhai wa mtu,kumuua kibaka kisa kakwapua simu ama pochi sio jambo sahihi,kwa wasio na busara hawawezi kunielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukio kama hili limetokea usiku huu pale....kivulini mlimani city.
Hapo unajiona unaaakili mwenyewe.Hayo mngekuwa mnawafanyia wanaowaibia mabilioni ya kodi zenu mngekuwa mmefanya jambo la maana,sio kumuua kibaka aliyeiba tekno ya laki mbili tena bila silaha.Kwanza ukute hata wewe mwizi tu,eidha unaibia ofisi,unaiba mke wa mtu etc.Kama hujawahi kuiba chochote katika maisha yako hapo unaweza kunyooshea wengine vidole.
Sent using Jamii Forums mobile app
⚰️⚰️⚰️⚰️⚰️⚰️