Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
niliona tangazo la kazi zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaitwa interview mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! nimesubiri kwa muda wote huo last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,GROSS SALARY NI 1.2 M TSH, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia to jamiiForums! narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na hili shirika la waamerika! nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji uvumilivu sana na yesu ni jibu siku zote!