zoom@Tz NIMEWAKUBALI

Mnakosea sana mnampo mfananisha YESU na MUNGU !

Ndio ni makosa makubwa kumfananisha Yesu na Mungu kwani hafanani nae, kwani Yesu ni Mungu na hana wa kufanana nae.

Hope umenisoma! Ubarikiwe na DAMU ya Yesu na neema ya wokovu wake ikupate. Sema aaaamen!
 
Ndio ni makosa makubwa kumfananisha Yesu na Mungu kwani hafanani nae, kwani Yesu ni Mungu na hana wa kufanana nae.

Hope umenisoma! Ubarikiwe na DAMU ya Yesu na neema ya wokovu wake ikupate. Sema aaaamen!

yesu ni Mungu
 
Mhh ni kweli hii au ndo kama ule usanii wa kujiangusa-angusa...?
Tuambie jina la hilo shirika basi ili tuweze kudedevua. Maana hii inasaundi kama kujifagilia fagilia...
 
niliona tangazo la kazi zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaitwa interview mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! nimesubiri kwa muda wote huo last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,GROSS SALARY NI 1.2 M TSH, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia to jamiiForums! narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na hili shirika la waamerika! nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji uvumilivu sana na yesu ni jibu siku zote!

Hatudanganyiki hata kidogo, huyo mujumba ni miongoni mwa washikadau wajuu wa mtandao wa zoom, baada ya kuona watu wakilalamikia ulaghai unaofanywa na zoom ameona aje na njia ya kuwasfisha hao zoom! zoom hawasafishiki hata kidogo-
 
Hahaha! Mkuu Mujumba, kwa bahati mbaya mimi ni mfuatiliaji sana wa records zako humu JF.
Nakumbuka kipindi cha kesi ya Lulu ulitamba sana kwamba wewe ni Mwanasheria mahiri, na kwamba unaishi Afrika kusini, eti unataka kujitolea kumsaidia huyo mtoto(Lulu). Kumbe ulikuwa unacheza na akili zetu, kwa kufanya Ujanja ujanja tu?
Ukiendelea kudanganya nitauleta huo uzi hapa!
Mimi najua Zoom TZ Tanzania Jobs | Jobs in Tanzania | Tanzania Employment ni kama watangazaji wa nafasi za kazi na hasa wauzaji kupitia minada Mgari na vitu mbalimbali
unachotakiwa ni kuwatumia picha za hicho kitu (gari, pikipiki, mtumbwi nk) detail na contact zako baada ya kuona ukitakacho.
Kwa hiyo siwezi mbishia Mujumba anaweza kuwa kapata kazi na yupo JF
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom