Mnakosea sana mnampo mfananisha YESU na MUNGU !
niliona tangazo la kazi zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaitwa interview mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! nimesubiri kwa muda wote huo last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,GROSS SALARY NI 1.2 M TSH, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia to jamiiForums! narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na hili shirika la waamerika! nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji uvumilivu sana na yesu ni jibu siku zote!
Mhh ni kweli hii au ndo kama ule usanii wa kujiangusa-angusa...?
Tuambie jina la hilo shirika basi ili tuweze kudedevua. Maana hii inasaundi kama kujifagilia fagilia...
Mimi najua Zoom TZ Tanzania Jobs | Jobs in Tanzania | Tanzania Employment ni kama watangazaji wa nafasi za kazi na hasa wauzaji kupitia minada Mgari na vitu mbalimbaliHahaha! Mkuu Mujumba, kwa bahati mbaya mimi ni mfuatiliaji sana wa records zako humu JF.
Nakumbuka kipindi cha kesi ya Lulu ulitamba sana kwamba wewe ni Mwanasheria mahiri, na kwamba unaishi Afrika kusini, eti unataka kujitolea kumsaidia huyo mtoto(Lulu). Kumbe ulikuwa unacheza na akili zetu, kwa kufanya Ujanja ujanja tu?
Ukiendelea kudanganya nitauleta huo uzi hapa!