Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,175
- 34,406
unapost m cv kila mtu anausoma! §4@<j6
so alale na njaa kwa kuhofia cv yake kusomwa na kila mtu? Wewe huwezi post ya kwako because you are a failure. Idiot.
unapost m cv kila mtu anausoma! §4@<j6
tangazo ilo utalilipianiliona tangazo la kazi zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaitwa interview mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! Nimesubiri kwa muda wote huo last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,gross salary ni 1.2 m tsh, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia to jamiiforums! Narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na hili shirika la waamerika! Nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji uvumilivu sana na yesu ni jibu siku zote!
sio kweli
hongera embu niambie hiyo zoom naizoom vipi na mie nina shida ya kazi
hapo kwenye red tu mkuu...umenifurahisha sana kutambua mchango wake kwenye maisha yako......in fact ukweli ndio huotu hamna lingine sasa kama haamini ajaribu kutumia nguve zake na akili zake mwenyewe aone kama hujakaa benchi mpaka mwisho wa msimu wa kutafuta ajira...!niliona tangazo la kazi zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaitwa interview mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! nimesubiri kwa muda wote huo last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,GROSS SALARY NI 1.2 M TSH, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia to jamiiForums! narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na hili shirika la waamerika! nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji uvumilivu sana na yesu ni jibu siku zote!
kwenda zako
sawa mkuu, maisha haya bila Mungu ni ubatili mtupu
Hahaha! Mkuu Mujumba, kwa bahati mbaya mimi ni mfuatiliaji sana wa records zako humu JF.
Nakumbuka kipindi cha kesi ya Lulu ulitamba sana kwamba wewe ni Mwanasheria mahiri, na kwamba unaishi Afrika kusini, eti unataka kujitolea kumsaidia huyo mtoto(Lulu). Kumbe ulikuwa unacheza na akili zetu, kwa kufanya Ujanja ujanja tu?
Ukiendelea kudanganya nitauleta huo uzi hapa!
niliona tangazo la kazi zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaitwa interview mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! nimesubiri kwa muda wote huo last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,GROSS SALARY NI 1.2 M TSH, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia to jamiiForums! narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na hili shirika la waamerika! nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji uvumilivu sana na yesu ni jibu siku zote!
niliona tangazo la kazi zoom@tz, nikatuma maombi, that was in july last year, nikaitwa interview mwezi huo huo tukaambiwa tusubiri majibu! nimesubiri kwa muda wote huo last week jamaa wameniita nikaanze kazi morogoro,GROSS SALARY NI 1.2 M TSH, nyumba, gari vyote nimekabidhiwa leo, cant wait to start kuchangia to jamiiForums! narudisha sifa za pekee kwa zoom@tz kwa kunikutanisha na hili shirika la waamerika! nilichojifunza kuwa maisha yanahitaji uvumilivu sana na Yesu Kristu ni jibu siku zote!