Hali tete imetawala Arumeru na kuzua kizaa zaa sehemu mbalimbali wakihusishwa wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na walimu ,wamelaumiwa na viongozi wa ccm kwa tabia ya wanafunzi hao wanapoona gari la TOT la matangazo na magari mengine ya CCM wanayazomea kwa nguvu na kusababisha watu wengi kuiga mtindo huo kuenee Arumeru nzima na kusababisha wanaccm wengi kuvua mavazi ya ccm kwa kuofiwa kuzomewa.Habari za kuaminika kiongozi mmoja wa ccm alivua nguo yake jana kutokana na kuzomewa na watoto alikasirika hatimae kuvua gwanda lake.