mangyi
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 723
- 879
Hawa Navy Seal wako vzur asee. Training yao ni ya hali ya juu sana. Pesa mingi sana inatumika kuwatrain na huwa mission zao ni perfect mostlySoja ana division four ya 50 toka secondary ya Mwasenga kigoma unataka atoe huduma Kama Navy seal ya US au spetsnaz commando ya Russia haiwezekani.
Ule ndio mwisho wa uwezo wao jamani kulingana na training na nutrition wanazopata.