Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 646
- 415
Kwanza kwa hili zoezi usitarajie waraka utoke.....kauli ya waziri mkuu kikatiba ni waraka pia...
.
Kuhusu anayesema polisi sio wasafi....Tunachanganya vitu viwili...watumishi hewa na watumishi wasio na sifa....hao unaosema wewe kama ni kweli basi sio hewa bali wasiokuwa na sifa
.
Kuhusu anayesema polisi sio wasafi....Tunachanganya vitu viwili...watumishi hewa na watumishi wasio na sifa....hao unaosema wewe kama ni kweli basi sio hewa bali wasiokuwa na sifa