nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
hayo aliyasema waziri mkuu jana jijini dar es salaam akiwa anahutubia watumishi wa umma pamoja na madiwani ilala ikiwa ni moja ya ziara anazozifanya humo mh.kasimu majaliwa kuwa zoezi la kuhakiki watumishi hewa limeisha na kuwa watumishi ambao wapo ni halali hivyo serikali imeanza kuajiri kama kawaida