samubagula
Member
- Jun 24, 2013
- 89
- 4
Zito ni kiongoz bora chadema lakini hata mimi nashangaa kwanini siku hizi amekuwa kimya hvo? Kwa vile yupo angetusaidia kutupa majibu basi.
Nyote ni magamba. Mmoja anamsifia mwingine anamponda. Msukumo wa kutofautiana upo kwenye eneo moja tu. Ngoja CHAMVIGA amalize mfungo
nakubaliana na wewe sana na hako kaubaguzi kameanza kuwaadhibu tayari na wote tunashuudia hilo du kumbe mambo hadharani iseee :Cry:Zitto ni mtu makini pale cdm. Hakuna mwingine kama huyu jamaa but kuna kaubaguzi anafanyiwa huyu Leader
Mkubwa! Huyu Zitto kilichomnyamzisha iko hapa
MAMBO YAKE YAKO HAPA 'CLICK'
Pekua vema na utamwona katika idadi ya hao mapapa nakwambia fedha fedheha!
Copy kwa
VUTA-NKUVUTE
Ulianza vyema sana na hoja ya mabilioni ya Uswisi. Wengi wetu tulikuwa tayari kukuunga mkono na kusaidia kuwaanika waficha mabilioni kule. Ukawasilisha hoja yako Bungeni. Tangu wakati ule umekuwa kimya. Nini kinaendelea kuhusu suala la mabilioni ya Uswisi. Nini/nani aliyekunyamazisha? Si vibaya ukatudokeza.
cc Zitto
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Ulianza vyema sana na hoja ya mabilioni ya Uswisi. Wengi wetu tulikuwa tayari kukuunga mkono na kusaidia kuwaanika waficha mabilioni kule. Ukawasilisha hoja yako Bungeni. Tangu wakati ule umekuwa kimya. Nini kinaendelea kuhusu suala la mabilioni ya Uswisi. Nini/nani aliyekunyamazisha? Si vibaya ukatudokeza.
cc Zitto
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hiyo link Ina mazito mzazi utaua watu kwa pressure mkuu
Zito ni kiongoz bora chadema lakini hata mimi nashangaa kwanini siku hizi amekuwa kimya hvo? Kwa vile yupo angetusaidia kutupa majibu basi.
Ulianza vyema sana na hoja ya mabilioni ya Uswisi. Wengi wetu tulikuwa tayari kukuunga mkono na kusaidia kuwaanika waficha mabilioni kule. Ukawasilisha hoja yako Bungeni. Tangu wakati ule umekuwa kimya. Nini kinaendelea kuhusu suala la mabilioni ya Uswisi. Nini/nani aliyekunyamazisha? Si vibaya ukatudokeza.
cc Zitto
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam