GODLOVEME
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,640
- 493
Umemaliza O-level ama umekimbilia Bavicha tu wewe?
Margaret thinker ndio nan?
na hili ndio tatizo la watanzania hudhani kujua kingeraza ndio kusoma kingereza ni kama kisuma tu ............usomi unapimwa kwa namna ambayo mwanadamu anaweza kulink maarifa aliyonayo kwa kicha ikiwa from formal or informal education wakati wa ksolve matatizo
na ndio maana wale waliokuwa wanajiita akili kubwa atuwaoni tena huku jamii forum because they thought that was the right way to solve thing
kumbe wako na akili ndogo sana juzi yale aliyokuwa anyapinga chadema,anatangaza kuwa kuna kiti cha uenyekiti cha wazi ACT ambacho anadhani ZITTO anafaa kuongoza ...........kwa sisi tunasema Dr anakili ndogo ameshindwa kulink alichokuwa anakemea kwenye nyaraka zake na anachosema anakiamini