Zitto yu wapi Bunge la Bajeti?

Zitto yu wapi Bunge la Bajeti?

Zitto ameyafanya mengi na sauti yake imesikika sana juu ya wanyonge zaidi ya wakina Mbowe na Slaa wapiga kelele kwenye majukwaa,Hachana na Zitto anauwezo.

Rekebisha hapo kwenye HACHANA sijalielewa hilo neno (HACHANA) lina maana gani? ni kiswahili kweli au ni kiswazi?
 
Yaani hapa JF ndo kabisaaa hataki hata kupasikia!!!! Alikuwa anajikakamua kidogo wakati hajatu-esikarioti, lakini tangu ajifanye Yuda na JF kuna data zake watu hawampi nafasi, kapotea jumla ndo hivo tena na Bungeni anaona aibu hata ya kusimama!!

Yangu macho.......
Mkuu mama wa Zitto Yuko ICU anasumbuliwa na cancer.Msikimbilie kutuhumu tu.
 
Zitto ameyafanya mengi na sauti yake imesikika sana juu ya wanyonge zaidi ya wakina Mbowe na Slaa wapiga kelele kwenye majukwaa,Hachana na Zitto anauwezo.

uwezo upi? Wa kusaliti wanamabadiliko? Au uwezo kipesa kutokana na madollar ya Ujeremani?
 
Mkuu mama wa Zitto Yuko ICU anasumbuliwa na cancer.Msikimbilie kutuhumu tu.

Ni kweli nimepata taarifa za uhakaki mama wa Zito yupo hospitali moja Masaki anapumlia mashine na yaweza zimwa muda wowote, hata kama 'ADUI MUOMBEE NJAA' Kama binadamu tumfariji Zitto yupo ktk mtihani wa Muumba. Tumuombee.
 
Bila kutaja zt hamuoni kama hamjisikii vizuri uliza baba yenu mbowe kafanya nn bungeni

Zitto ni Shetani/Ibilisi. Na hivyo lazima akemewe! Shetani hupaswa kukemewa kila wakati, kwani huleta madhara asipokemewa! Kwa hiyo uelewe kuwa kila unapokemea shetani basi unamkemea Zitto pia. Kama unampenda Zitto, usikemee shetani, maana wewe ni mfuasi wako!
 
Zitto ni Shetani/Ibilisi. Na hivyo lazima akemewe! Shetani hupaswa kukemewa kila wakati, kwani huleta madhara asipokemewa! Kwa hiyo uelewe kuwa kila unapokemea shetani basi unamkemea Zitto pia. Kama unampenda Zitto, usikemee shetani, maana wewe ni mfuasi wako!

Shetani na ibilisi ni yule unaemuona kama mungu mtu akikuweleza vuwa nawe wavuwa tu
 
Anakula posho bado lakini si kama ile ya mwanzo kutoka ccm
 
Ccm wakishakutumia hawakuhitaji tena. Ni kama karai la kubebea zege. Kibaya zaidi ni kuwa hata wakikupa hela watahakikisha umeitumia hadi imeisha na kubakia na hali uliyokuwa nayo. Sasa hivi hela waliyompa inatumika kukuza act ambayo baada ya 2015 itakuwa kama nld. Wsko wapi lamwai, ngawaiya, walid khaboru etc.
 
Zito akisifiwa sana anagombea urais hata kama hajakomaa kisiasa
 
Back
Top Bottom