Wakuu wa Ukawa,Intarahamwe na wengine naombeni kujua Zito K yu wapi bunge la Bajeti.Nikiri tu siangalii bunge dk zote lakini napata fursa ya kuangalia michango bora ktk taarifa za habari na magazeti,simuoni!!Spika acha kumbania mwenyekiti
Tuliwaambia hamuwezi kuishi bila zitto ona sasa kucha mnamuota zitto wakati yeye hanashida na nyie na bado mtapata shida sana juu ya zitto.
[/QUOTE]nimekutana na swali hili huku jamii forum labda tumuulize, maana jamii forum amekuwa ni view he never comment au ni yule ambey kila siku huwa anakuja na id mpya
QUOTE=Lukolo;689097]Ndugu wana JF,
Nimeona niilete jukwaani hii hoja ya report ya kamati ya uchunguzi wa mikataba ya madini ambayo Zitto alikuwa ni member! Hatukuwahi kusikia matokeo ya uchunguzi wa kamati ile, na Zitto mwenyewe amenyamaza kimya wala hasemi chochote kuhusu matokeo ya kazi aliyoifanya. Je amefumbwa mdomo?
Hivi nyinyi mnakuja kumtukana Mh.Zitto humu jamvini,alafu mlivyo wanafki eti nimeangalia michango "bora" simuoni!!
Kumbe mnamkubali sana eeh?,sasa ni nini kinawasumbua nae...
Najua akiongea Bungeni mtarudi hapa na majungu yenu!
Dah,kweli binadamu tu wanafki sana...dah!!!
Jibu swali, Zitto yuko wapi?
Wakuu wa UKAWA,Intarahamwe na wengine naombeni kujua Zitto Kabwe yupo wapi bunge la Bajeti.Nikiri tu siangalii bunge dk zote lakini napata fursa ya kuangalia michango bora ktk taarifa za habari na magazeti,simuoni!!
Spika acha kumbania mwenyekiti.
[/QUOTE]nimekutana na swali hili huku jamii forum labda tumuulize, maana jamii forum amekuwa ni view he never comment au ni yule ambey kila siku huwa anakuja na id mpya
QUOTE=Lukolo;689097]Ndugu wana JF,
Nimeona niilete jukwaani hii hoja ya report ya kamati ya uchunguzi wa mikataba ya madini ambayo Zitto alikuwa ni member! Hatukuwahi kusikia matokeo ya uchunguzi wa kamati ile, na Zitto mwenyewe amenyamaza kimya wala hasemi chochote kuhusu matokeo ya kazi aliyoifanya. Je amefumbwa mdomo?
Wkend ya Ijmaa alikuwa Billicanas kwenye show ya Road to MAMA na yule fiance wake!!!
Mwenyezi Mungu atamuafu,mama Zitto,inshaallah.Mkuu, Zitto anamuuguza mama yake! Mama ni mgonjwa na amelazwa hospitali. Anahitaji sala zetu kama binadamu wengine! Zitto pia anahitaji support yetu katika kipindi hiki
Amakweli CDM ilikuwa inawapa umaarufu watu wengi sana..
Ule mvuto wa ZZK umepukutika kabisa....Huwa nikimuona naona kama anataka kunitupia uchawi..
Wakuu wa UKAWA (Boko Haram),Intarahamwe na wengine naombeni kujua Zitto Kabwe yupo wapi bunge la Bajeti.Nikiri tu siangalii bunge dk zote lakini napata fursa ya kuangalia michango bora ktk taarifa za habari na magazeti,simuoni!!
Spika acha kumbania mwenyekiti.