Zitto yu wapi Bunge la Bajeti?

Zitto yu wapi Bunge la Bajeti?

kuna taarifa zilivujaaa toka idara ya ujasusi na usalama wa chadema.....kuwa kuna mkakati wa kumzuia zitto kabwe...kuongea maana ana siri nzitoo na walaka mzitoo juu ya
1.chadema....na hoja za ukanda....
2.chadema na udini.....
3.chadema...na hoja ya viti maalum
4.dk.slaa akihusishwa na wizii wa kujikopesha pesa za chama,,,
5.freeman mbowe na ndesamburo....kutengeneza mtandao wa kuwekaa wachaga idara za juu ndani ya chama.... kwa kushika nyadhifa za juu ndani ya chama....

6.chadema na mkakati wa mangi maleare juu ya kutaka mkoa wa kilimanjaro ...kuitwa nchii


 
zzk ni mwanadamu anaye juwa kuzaliwa na mama hivo hana budi kumtunza kama mama alivo mtunza akiwa tumboni
 
Wakuu wa UKAWA,Intarahamwe na wengine naombeni kujua Zitto Kabwe yupo wapi bunge la Bajeti.Nikiri tu siangalii bunge dk zote lakini napata fursa ya kuangalia michango bora ktk taarifa za habari na magazeti,simuoni!!

Spika acha kumbania mwenyekiti.

...anamuuguza mama yeke yupo ICU...
 
Mama yake amelazwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika hospitali ya Ami, Masaki, DSM akisumbuliwa na maradhi ya saratani.
Akizungumza hospitalini hapo jana, Zitto alisema baada ya hali ya mama yake kuwa mbaya alishindwa kuendelea kukaa Dodoma. Alisema hali ya mama yake haijatengemaa tangu aanze kusumbuliwa na maradhi hayo, hivyo ameshindwa kuhudhuria Bunge la bajeti linaloendelea mjini Dodoma.

Tangu kuanza kwa bunge la bajeti, Zitto alionekana Dodoma mara moja tu, siku ilipowasilishwa ripoti ya CAG.

Source: Gazeti la Mwananchi la leo.
 
Wakuu wa UKAWA,Intarahamwe na wengine naombeni kujua Zitto Kabwe yupo wapi bunge la Bajeti.Nikiri tu siangalii bunge dk zote lakini napata fursa ya kuangalia michango bora ktk taarifa za habari na magazeti,simuoni!!

Spika acha kumbania mwenyekiti.

yupo kibosho
 
nimekutana na swali hili huku jamii forum labda tumuulize, maana jamii forum amekuwa ni view he never comment au ni yule ambey kila siku huwa anakuja na id mpya

QUOTE=Lukolo;689097]Ndugu wana JF,
Nimeona niilete jukwaani hii hoja ya report ya kamati ya uchunguzi wa mikataba ya madini ambayo Zitto alikuwa ni member! Hatukuwahi kusikia matokeo ya uchunguzi wa kamati ile, na Zitto mwenyewe amenyamaza kimya wala hasemi chochote kuhusu matokeo ya kazi aliyoifanya. Je amefumbwa mdomo?
[/QUOTE]

mmemmis sana zito eee,, chadema bila zito haiwezekani...vipi mrithi wenu wa zito lema yuko wapi?
 
Zitto baada ya kutemwa kwenye barazg kivuli amekuwa na msongo wa mawazo na aibu kubwa kiasi cha kushindwa kuhudhuria vikao vya bunge...teh teh,mwenzake dr. Kitila Mkumbo sijui yuko wapi!
 
DSC_0024.JPG

Picha Kabwe akiwa Ludewa kwenye msiba wa Baba mzazi wa Filikunjombe last week


Nilipata taarifa kutoka wiki iliyopita kwamba mama yake mzazi ni ngonjwa yuko hospitalini, hata Zitto mwenyewe alipoenda Ludewa kwanye msiba wa baba mzazi wa Filikunjombe alikuwa amemwacha mamake mazazi mgonjwa. Alishawahi kumpeleka India kipindi kila Filikunjombe alipompeleka hayati babake kwa matibabu.

Taarifa kwenye vyombo vya habari leo ni kwamba mamaye yuko hospitalini chumba cha uangalizi maalum. Hivo tuwe na utu kujali wenzetu wenye matatizo, na tumwombee mamake apate afya njema. Mama yake ni mjumbe wa halmashauri kuu Chadema Taifa.
 
mmemmis sana zito eee,, chadema bila zito haiwezekani...vipi mrithi wenu wa zito lema yuko wapi?[/QUOTE]

msaliti hawezi kupata nafasi chadema
 
Mtanunuliwa sana kwa ajili ya kuwachafua watu , badala ya kuzungumza mambo ya msingimnaongea maisha ya watu na kupenda kuharibia watu maisha , subirini muone MTENDA HUTENDWA mnadhani Mungu ni wa kuchezea
 
nenda kwenye facebook wake 50% ya member wanamponda ndani ya ofice yake ya twitter na facebook labda waje

kama ameshindwa kuwahandle follow wake na maanisha wafuasi wake facebook anaweza kuja kwa margaret thinker who are logical analysing issues

Umemaliza O-level ama umekimbilia Bavicha tu wewe?
Margaret thinker ndio nan?
 
Back
Top Bottom