Kumrudisha huyu mnafiki chadema ni sawa na kuona nyoka ameingia ndani kwako ukamwacha eti utamuua baadae
kuna vijana wengi wenye uwezo km wazito.
Wala asidhani yy ni spesho km anavojidanganya
............
Nimecheka sana,eti tumekula chips na mbowe,anajenga picha kuwa Mbowe alikuwa na life la kuunga kuunga ama?
Hapo yy ashukuru tu,mbowe ni mstaarabu sana,kwa kuwa karibu na mbowe tena akiwa mwanafunzi kanufaika na mengi japo sijawahi kumwona mbowe akijisifia kwa hilo
kikubwa msaliti ni msaliti tu,simba akishakula nyama ya binadamu hawez kuacha,ni hadi simba awindwe auawe.
Yy ajifananishe hata na mandela acha huyo wazir mkuu wa malasiya hawez kubadili ukweli
yy aende akahiji alififia Yesu bado ukweli haubadiliki.
Yy ahamie ccm au tawi lao act,bado atazidi kuwa ni msomi asiejitambua,mnafk,msaliti,mbnafsi
hafai hata kuwa balozi,km unaweza kudanganya kwa ngazi kubwa kiasi hicho,ukipewa madaraka makubwa itakuwaje.
I hate this dude sema basi tu