Hivi nyie watoto, mnajua kumkosoa Magu ni njia ya kumsaidia na kulisaidis taifa? Nyie wa ccm nyie mumsifie kwa sana. Sisi upnde mwingine tutakosoa kwa sana. Hii inaitwa checks and balances! Ndivyo inavyotakiwa. Nyie mtasifia ssna sisi tutakuwa tunaangalia wapi anakosea na kumshtua! Tisipofanya hivyo ncho itaangsmia. Nyie ccm tunajua hamuwezi kumkosoa, sisi tunafsnya pia kuwasaidia nyie! Otherwise tutakuwa taifa la ajabu sana.
Nikutajie faida chache zilizotokana na kimkosoa Magufuli na serikali yake.
Mosi, bomoabomoa tulipopiga kelele za ukosoaji akashtuka akaacha.
Kutumbua watu majukwaani kwa kuwadhalilisha, tulipopiga kelele akashtuka akaacha.
Kupiga marufuku uagizaji wa sukari, kulikosababisha uhaba mkubwa na bei kupanda mara dufu, tulipiga kelele akashtuka, ikabidi sukari iendelee kuagizwa nje. Na tukamwambia wazi kwamba yeye ndiye kasababisha upungufu kwa kukurupuka!
Bumge live tukamkosoa vikali sasa ameanza kubadilika na kuanza kuonesha japo kwa kuchelewa saa moja. Orodhs ni ndefu,
Swala la wanafunzi wa udom, kele zimemfanya aharakishe kuwarufidha mavyuoni.
Lile ls kuzuia mikutano ya kisiasa tayari keshalegea!
Hebu fikiri sote tungemshangilia km ninyi mnavyofanya wengi hssa wanyonge wangeumizwa sana. Kumbe kukosoa inamsaidia hata yeye kujirekebisja kabla ha
li haijawa mbaya! Umeelewa dogo?