Mtuache jamani tuna machungu na kifo cha Mwalimu Kaijage
No correlationKitendo cha zzk kuwashawishi waliokuwa wabunge wa Nccr ili wajiunge ACT na kugombea ubunge huko limekuwa ni pigo kwa vijana hao na sasa wanalazimika kurudia matapishi yao kwa kurudi ccm,zzk punguza tamaa ya fisi
Eti tunauchungu na kifo cha Mwl. Kaijage! Wakati mlimtelekeza hospitali.Mtuache jamani tuna machungu na kifo cha Mwalimu Kaijage
Felix hakuhama NccrKitendo cha ZZK kuwashawishi waliokuwa wabunge wa NCCR ili wajiunge ACT na kugombea ubunge huko limekuwa ni pigo kwa vijana hao na sasa wanalazimika kurudia matapishi yao kwa kurudi CCM, ZZK punguza tamaa ya fisi.
Siku ikifika ndugu yangu hata upelekwe Ujerumani utarudi kwenye jeneza Tu. Kama chama tuko kwenye majonzi mtuacheEti tunauchungu na kifo cha Mwl. Kaijage! Wakati mlimtelekeza hospitali.