Zikomo Songea
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 670
- 582
Mwanasiasa anayepelekwa tu bila kutumia utashi na akili zake ni hatari sana na hafai kuongoza watu. Wacha hili liwe fundisho kwa wengine wa namna hiyo!Kitendo cha ZZK kuwashawishi waliokuwa wabunge wa NCCR ili wajiunge ACT na kugombea ubunge huko limekuwa ni pigo kwa vijana hao na sasa wanalazimika kurudia matapishi yao kwa kurudi CCM, ZZK punguza tamaa ya fisi.