Zitto umewaponza Machali na Mkosamali

Zitto umewaponza Machali na Mkosamali

huku kwetu wamebomoa kijiwe cha ACT na bendera wameiiba nilichokijenga mwenyewe wkati nataka udiwani, wameniudhi sana,
Ukiona hata afande sele kakimbia ujue hali ni tete na mcubic sasa hivi atahamia ccm
 
Ukiona hata afande sele kakimbia ujue hali ni tete na mcubic sasa hivi atahamia ccm
Mkuu ungenitolea mfano wa mtu mwingine ningekuelewa, huyo unomsemea hapo sijawahi kumuelewa hata sekunde moja, hivi yupo wapi mcubic? mtoto ana tabu sana huyo kupenda vya kuteleza
 
Kitendo cha ZZK kuwashawishi waliokuwa wabunge wa NCCR ili wajiunge ACT na kugombea ubunge huko limekuwa ni pigo kwa vijana hao na sasa wanalazimika kurudia matapishi yao kwa kurudi CCM, ZZK punguza tamaa ya fisi.
Kama Roho mbaya haka kajitu[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Mkuu ungenitolea mfano wa mtu mwingine ningekuelewa, huyo unomsemea hapo sijawahi kumuelewa hata sekunde moja, hivi yupo wapi mcubic? mtoto ana tabu sana huyo kupenda vya kuteleza
1480072762912.jpg
 
Mdogo wake mkosamali ndio yupo Act na aligombea kupitia chama cha Act na akagawa kura mpaka kaka yake akakosa ubunge na kwenda kwa mgombea wa CCM.Felix mkosamali bado yupo NCCR Mageuzi katulia na sasa anaongeza Elimu.

Siyo mdogo wake tafadhali bali Edga ni mkubwa wake Felix ...........................
 
Mbona Kafulila na wagombea wa UKAWA Kigoma na wao walidondoka, au na wao walifuata ushauri wa Zitto?
 
ACT/CCM B bado ipo mikoani? Nafikiri chama kimebaki Kigoma tu, bwana mdogo Mchange aliropokaropoka na kusumbua sana mtaani kumbe ni pesa ya kupewa na msaliti namba moja, sasa hivi mchange hasikiki tena labda mpaka 2020 endapo Juma atawakumbuka
 
ACT/CCM B bado ipo mikoani? Nafikiri chama kimebaki Kigoma tu, bwana mdogo Mchange aliropokaropoka na kusumbua sana mtaani kumbe ni pesa ya kupewa na msaliti namba moja, sasa hivi mchange hasikiki tena labda mpaka 2020 endapo Juma atawakumbuka
Alichezea bahati wakati yupo chadema alipogombea ubunge mwaka 2010,tamaa ya pesa ilimponza.
 
ahahahhah wewe mtani wa Lizaboni mbona hivi hahahahahahahh: aliwania ubunge Morogoro mjini huyo, kura zingetosha angekuwa ndio mbunge wa Morogoro mjini hahahahahah
Mkuu kwa Act hilo ndio lilikuwa chaguo sahihi
 
Back
Top Bottom