Ben Mugashe
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 998
- 615
Zitto: mkituacha sisi wanasiasa tupambane juu ya maendeleo mmekwisha maana sisi wanasiasa nia yetu ni kuchukua madaraka....
Mkuu ahsante kwa uzi huu, vipi Bukoba mvua zinanyesha???Mh. Zitto yuko Live kwenye tamasha la Kigoda cha Mwl. Nyerere..........anaongelea Azimio na maadili ya viongozi. Fuatilia............
Mjadala unaendeshwa na Generali Ulimwengu, mbele yuko Zitto na Dada mmoja hivi..wanalumbana lakini kwa hoja
Update:
Ulimwengu anasema Tanzania ni nchi ambayo ina kampeni ya Kilimo kwanza lakini hakuna kiwanda cha kutengeneza jembe, panga au shoka wala mundu.!!!!
UFI Ubungo, ZKK Mbeya vyote hivyo hakunaga mjomba, tunajikwamisha wenyewe na kuleta eti wawekezaji!!!!Kwa mara ya mwisho umeiona lini.....mie kwa mara ya mwisho niliona tolori la ZZK mwaka 1992
Mkuu vipi mbona sikuelewi, angelisema CCM hoyee kwa kuliuwa azimio la Arusha au kwa kudidimiza uchumi wa nchi yetu na kuzalisha mafisadi?????Kuna watu wagumu kuelewa.
Kihistoria, kikao kama kile lazima kimaliziwe na kauli kama hizo. Kuanzia mwaka 1992 hali hiyo imebadilika kutokana na kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi.
kingunge kama mwanaCCM mkongwe ameona si sahihi kutoka bila kusema CCM oyee, kwa hiyo ameisema kwa style hiyo kuwa anatambua umuhimu wa kauli hiyo ambayo kwa kadamnasi ile hawezi kuisema.
Kuna watu wako kwenye jitihada za kulifanya embe dodo lionekane andazi, ili wapate kitafunio...
Kingunge huyo mwenye kumiliki parking meters?Kingunge Ngombale M...anatoa fact za maadili ya Viongozi.............anasema mambo mengi yamekiukwa
Nafikiri ni Vision 2025. Anasifia kwa sababu aliusika kuuandaa. Hapana haufuatwi bali ni kwa ajili ya kuonyesha ndoto zetu.Prof.Wangwe anazungumzia na kusifia development vision 2015,je huu mpango unatekelezwa kweli?