Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
Mh. Zitto yuko Live kwenye tamasha la Kigoda cha Mwl. Nyerere..........anaongelea Azimio na maadili ya viongozi. Fuatilia............
Mjadala unaendeshwa na Generali Ulimwengu, mbele yuko Zitto na Dada mmoja hivi..wanalumbana lakini kwa hoja
Update:
Ulimwengu anasema Tanzania ni nchi ambayo ina kampeni ya Kilimo kwanza lakini hakuna kiwanda cha kutengeneza jembe, panga au shoka wala mundu.!!!!
Mjadala unaendeshwa na Generali Ulimwengu, mbele yuko Zitto na Dada mmoja hivi..wanalumbana lakini kwa hoja
Update:
Ulimwengu anasema Tanzania ni nchi ambayo ina kampeni ya Kilimo kwanza lakini hakuna kiwanda cha kutengeneza jembe, panga au shoka wala mundu.!!!!