Zitto: Ujenzi wa CHADEMA imara - Fuata misingi!

Zitto: Ujenzi wa CHADEMA imara - Fuata misingi!

Status
Not open for further replies.
Naona na wewe mambo ya sumu unayajua kiundani zaidi

hahahahahahahahahaha

Tatizo la ZZK,haaminiki na haeleweki,pamoja na yote nilipoteza kabisa imani na ZZK,pamoja na wafuasi wake ambao hawafuati misingi anayoihubili ZZK,ila wanamuabudu yeye,alipoungana nao kushadadia hoja ya kipuuzi ya CCM through NAPE kuwa Dr.Slaa ana kadi ya CCM,pILI ZZK,anapenda umaarufu na kutukutwa,alionesha kuchukia sana CDM,ilipoanza kupata makamanda wengine wachapakazi na wakaonekana kama kumfunika watu kama,mh.J.J.MYIKA,SILINDE na LISU
 
Makala hii inanifanya nione na kukubaliana na Mhe. ZZK kuwa ameamua kukijenga Chama, kutomtaja Dr. Slaa isiwe sababu ya kumuona ZZK anamchukia Dr, inawezekana ni mwanzo wa makala yake na ameanza kwa kuzungumzia mambo aliyofanya mwenyekiti, mbona yeye kama naibu katibu mkuu kafanya pia mengi na hajajitaja? Tuungane pamoja kumng'oa mkoloni mweusi..
 
It is trick to be a student,but it's more trick to be a teacher.
 
Ndugu zangu hii ni Makala ya 3, ya kwanza nilimzungumzia dkt Slaa. Iliwekwa hapa jf. Hii hapa

Kaka tumia hii tafadhali

Fuata misingi, sio watu, sehem ya pili: Vita dhidi yaufisadi.

Katika makala iliyopita tumeona namna kwa kupitiaMbunge wa Kawe CHADEMA ilivyoweza kutekeleza kwavitendo msingi wake wa kusimamia rasilimali za Taifa.Mbunge wa Kawe, Ndugu Halima Mdee, alifanikiwakupitisha hoja Bungeni yenye kutaka tathmini ya Ardhi naugawaji wa Ardhi hapa nchini. Ardhi ndio rasilimali pekeeambayo kila Mtanzania anaweza kufaidika nayo na hivyougawaji holela wa ardhi unatishia uwepo wa Taifalenyewe. Leo tunaendelea na mfano wa pili katikamfululizo wa makala 6 kuhusu ufuasi wa misingi ya chamabadala ya ufuasi wa watu kwenye chama.
Katika msingi ambao CHADEMA imejitambulisha nao kwakiasi kikubwa ni ule
 
Mkuu mbona watupa mambo nusu nusu? Mwaga yote tuyachambue
Ndugu zangu hii ni Makala ya 3, ya kwanza nilimzungumzia dkt Slaa. Iliwekwa hapa jf. Hii hapa

Kaka tumia hii tafadhali

Fuata misingi, sio watu, sehem ya pili: Vita dhidi yaufisadi.

Katika makala iliyopita tumeona namna kwa kupitiaMbunge wa Kawe CHADEMA ilivyoweza kutekeleza kwavitendo msingi wake wa kusimamia rasilimali za Taifa.Mbunge wa Kawe, Ndugu Halima Mdee, alifanikiwakupitisha hoja Bungeni yenye kutaka tathmini ya Ardhi naugawaji wa Ardhi hapa nchini. Ardhi ndio rasilimali pekeeambayo kila Mtanzania anaweza kufaidika nayo na hivyougawaji holela wa ardhi unatishia uwepo wa Taifalenyewe. Leo tunaendelea na mfano wa pili katikamfululizo wa makala 6 kuhusu ufuasi wa misingi ya chamabadala ya ufuasi wa watu kwenye chama.
Katika msingi ambao CHADEMA imejitambulisha nao kwakiasi kikubwa ni ule
 
Fuata misingi, sio watu, sehem ya pili: Vita dhidi yaufisadi.

Katika makala iliyopita tumeona namna kwa kupitiaMbunge wa Kawe CHADEMA ilivyoweza kutekeleza kwavitendo msingi wake wa kusimamia rasilimali za Taifa.Mbunge wa Kawe, Ndugu Halima Mdee, alifanikiwakupitisha hoja Bungeni yenye kutaka tathmini ya Ardhi naugawaji wa Ardhi hapa nchini. Ardhi ndio rasilimali pekeeambayo kila Mtanzania anaweza kufaidika nayo na hivyougawaji holela wa ardhi unatishia uwepo wa Taifalenyewe. Leo tunaendelea na mfano wa pili katikamfululizo wa makala 6 kuhusu ufuasi wa misingi ya chamabadala ya ufuasi wa watu kwenye chama.
Katika msingi ambao CHADEMA imejitambulisha nao kwakiasi kikubwa ni ule wa kupambana na ufisadi. Viongoziwa CHADEMA na hasa wabunge wake wamekuwa mstariwa mbele kuhakikisha kuwa vita dhidi ya rushwa,ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka inaendeleakuwa kipaumbele katika kampeni zake. Pamoja nakwamba juhudi za CHADEMA kuibua masuala ya ufisadihazijamaliza ufisadi, juhudi hizi zimewafumbua sanaWatanzania na hivyo nao kushiriki katika vita hii.
Kati ya mwaka 2007 na 2010 kumekuwa na maskandalimakubwa ya ufisadi yaliyoibuliwa na wananchi mbalimbalikupitia wabunge na vyombo vya habari. Mifano yamaskandali hayo ni pamoja na Wizi wa tshs 133 bilionikutoka Benki Kuu ya Tanzania, Wizi wa tshs 255 bilionikupitia kampuni ya Meremeta, wizi wa mabilioni ya fedhakupitia mfumo wa kuagiza bidhaa kutoka nje (Import Support), mkataba wa kuuziana umeme wa Richmond namauzo ya mgodi wa makaa ya mawe Kiwira. Kipindi hikikilikuwa ni kipindi ambacho Bunge lilikuwa linasubiriwakwa hamu maana kila mkutano wa Bunge ulikuwa namasuala nyeti ya kujadili kuhusu Taifa. Katika kuongozamapambano haya, wabunge wa CHADEMA ndio walikuwamstari wa mbele chini ya aliyekuwa Naibu Kiongozi waUpinzani Bungeni na Katibu Mkuu wa CHADEMA dkt.Willibrod Slaa.
Ndugu Slaa alikuwa anatekeleza msingi mmojawapo waCHADEMA wa uwajibikaji mbele ya wananchi. Alikuwaanatekeleza jukumu lake la kibunge la kuisimamia Serikalikwa vitendo kwa mwongozo wa misingi ya CHADEMA.Kwa kua Dk Slaa ni Mtanzania na ana ndugu na jamaahumu nchini, huenda kuna watu anao wajua ambaowalifaidi katika masuala haya. Na iwapo mbunge huyuangekuwa anajali maslahi ya watu binafsi ama angekuwamfuasi wa watu angeweza kufumbia macho masuala hayana Watanzania kwa kiasi kikubwa wasingepata fursa yakujua mambo haya.
Suala la EPA lilikuwa suala tete sana. Baada ya uchaguziMkuu wa mwaka 2005 na CCM kuibuka na ushindimkubwa sana wa asilimia 80 ya kura za Rais na hataBunge na kujizolea viti vingi sana Bungeni, siasa zaupinzani zilizorota kwa kukata tamaa. CHADEMA ilikuwaimeingiza wabunge wapya wanane kati ya wabunge wotekumi na mmoja alieingia Bungeni katika Bunge la Tisa.Ilibidi team hili jipya la wabunge wa CHADEMA lijipangesawa sawa kuhakikisha kuwa kazi ya Upinzani Bungeniinafanyika kwa ufanisi hasa ukizinagtia kuwa kambi yaUpinzani ndio unayofanya kazi haswa ya kuisimamiaSerikali. Kambi ya chama tawala mara nyingi hufanya kaziya kuishauri Serikali badala ya kuisimamia. Ufisadi waEPA ulikuwa ni mtihani kubwa sana kwa pande zote mbilindani ya Bunge.
Kwanza, ilibidi taarifa za awali za ufisadi huu kutafutwakutoka kwa walioshiriki kwenye ufisadi lakini wakawa namanunguniko kuwa hawakupata walichotaka, yaanimgawo wao. Mmoja wa waathirika aliandika ‘dossier’ nakuisambaza kwenye mitandao ya internet. Kwa ujasirimkubwa sana Dkt. Slaa alitumia nyaraka hizizilizopatikana kwenye internet kutaka majibu ya Serikalindani ya Bunge. Bunge la Bajeti la mwaka 2007 lilitumikakwa mafanikio makubwa sana kuhakikisha kuwa majibuya Serikali kuhusu wizi wa akaunti ya EPA yanapatikana.Chini ya dkt Slaa kambi ya upinzani iliandaa hoja binafsi ilikupata azimio la Bunge kuchunguza na kuchukua hatuadhidi ya ufisadi huu.
Pili, changamoto kubwa ilikuwa ni kuhakikisha ajendainasimama mpaka ukweli ujulikane. Spika wa Bungealipotishia kunyonga hoja ya EPA ndani ya Bungetulikwenda kwa wananchi kwa kuanzia Jangwani nabaadaye MwembeYanga tarehe 15 Septemba 2007.Jangwani dkt Slaa alieleza hoja yake kwa ufasaha naMwembeYanga alitangaza orodha ya Watanzania 11wenye kashfa za kujibu kwa vyombo vya sheria. Orodhahii tuliita ‘list of shame’. Hoja iliendelea kusimamiwampaka uchunguzi wa kina kufanywa na Serikali kuwekawazi watu na makampuni yaliyoshiriki katika kukwapuamabilioni haya ya fedha za Umma.
Moja ya kazi iliyo tekelezwa na CHADEMA kwa nguvukubwa ni kuelimisha wananchi kupitia mikutano ya habarina maandishi yetu. Dkt Slaa alilinganisha fedha hizi nanyumba za Walimu, madarasa, kilometa za barabara nk.Kila mkutano wa hadhara au wa ndani, wabunge waCHADEMA waliutumia kuhakikisha ujumbe huu unafikiawananchi kwa lugha wanayoielewa. Serikali nayo ilitumaMawaziri na Manaibu Mawaziri kwenda kwa wananchikuwaelemisha upande wao. Wananchi hawakuwaelewana maeneo mengine Mawaziri walizomewa na wananchi.Nchi ilikuwa imevimba. Wananchi walikuwa wamefura kwahasira. Katika kipindi hiki na miezi ilio fuata, maelfu yawatu walijiunga na chama chetu kwa kuamini kwamba nichama cha misingi yenye manufaa kwa Taifa, mbali navyama vyenye ushabiki na ufwasi yenye kunufaisha watubinafsi.
Somo kubwa tunalolipata hapa ni kwamba iwapo chamacha siasa kikiwa na umoja kwenye hoja ya msingi nakuisimamia kwa pamoja mafanikio yanakuwa ni makubwasana. Mafanikio ya vita dhidi ya ufisadi yalitokana nawananchi wote, bila kujali vyama vyao, kuona viongozi waCHADEMA kwa pamoja wakisimamia suala hili lenyemanufaa kwa Tanzania kama taifa, na kulieleza kwa kinakwenye mikutano mbalimbali. Iwapo wanachama auviongozi wa chama cha siasa wataendekeza ufuasi kwamtu mmoja mmoja, watapofushwa na ufuasi huo nakutoshiriki kupeleka ajenda ya chama mbele. Halikadhalika, iwapo wanachama au viongozi wa chama chasiasa wakiamua kusimamia ajenda za chama kutokana namisingi ya chama hicho badala ya kusimamia ufuasi kwamtu, chama hicho lazima kifanikiwe katika malengo yake.
Dk Slaa hakusimamia hoja hili kama mtu binafsi, au kamakiongozi wa wafuasi wake, alisimamia hoja kama kiongoziwa chama, na zaidi, kama Mtanzania anae simamiamisingi ya chama chake kwa manufaa ya taifa nzima.Misingi ya kupinga ufisadi iliyowekwa na dkt Slaa kwenyehoja ya EPA ndio ambayo wabunge tuliobakia waCHADEMA tunaiendeleza. Hoja ambazo zimeibukabaadaye kama ufisadi kwenye manunuzi ya mafuta yakuendesha mitambo ya umeme unaoendelea mpaka hivisasa na hata kashfa ya mabilioni ya Uswiss nimwendelezo ya misingi hii. Ujasiri wa kulitumia Bungekujadili masuala ya msingi ya Taifa ni moja ya urithimkubwa sana ambao Dkt Slaa ametuachia wabunge waCHADEMA katika Bunge la Kumi. Kupuuza ujasiri huukwa kupendekeza ufuasi wa watu binafsi ni faida kwawapinzani wetu wa kisiasa, na hasara kwetu sisi wenyewekama wabunge wa upinzani, na ni hasara zaidi kwa Taifaletu ambalo linategemea kua Bunge litasimamia serikali.
Ufuasi wa misingi ya CHADEMA unatuelekezakuhakikisha kwamba hoja yeyote yenye kuimarishamisingi ya chama inayotolewa na mwanachamamwenzetu inasimamiwa mpaka mwisho. Mwisho nikuhakikisha hatua stahili zimechukuliwa maana haitoshi tukuibua masuala Bungeni au kwenye mikutano ya hadharana kuacha yakielea. Mwisho ni pale ambapo ama sheriaimetungwa au wakosaji wamefikishwa kwenye mikono yasheria. Ufuasi wa watu hupofusha. Ufuasi wa misingi yachama hurutubisha chama cha siasa.
Katika makala ijayo, tutaona namna Mwenyekiti waCHADEMA, ndugu Freeman Mbowe aliimarisha chamakutoka nafasi ya tano katika vyama vya upinzani hadinafasi ya kwanza, kwakuweka misingi ya chama mbele yaufuasi wa watu binafsi.
 
Ndugu zangu hii ni Makala ya 3, ya kwanza nilimzungumzia dkt Slaa. Iliwekwa hapa jf. Hii hapa
Zitto asante kwa makala ya leo. Natumaini ulidhamilia kuweka link ya Makala inayozungumzia Dr. Slaa, lakini hukuweka! Naomba utuwekee hiyo link.
Asante
 
Last edited by a moderator:
Zitto asante kwa makala ya leo. Natumaini ulidhamilia kuweka link ya Makala inayozungumzia Dr. Slaa, lakini hukuweka! Naomba utuwekee hiyo link.
Asante


Nimeweka Makala yote hapo juu. Nilianza na kupigania rasilimali hapo mfano ukawa Halima. Then vita dhidi ya ufisadi Slaa. Ujenzi wa chama Mbowe. Makala 3 zaidi zinakuja
 
Last edited by a moderator:
Zitto pia kwa nafasi yake kavuta watu wengi sana Chadema, mie nikiwa mmoja wapo...niliifahamu chadema na kuipenda kupitia kwa Zitto, japo nasikitika kabadilika kijana wangu..



naunga mkono hoja. Mi pia ni mmoja wao bt jamaa kachange sana. Naamin ana nafas ya kujirekebisha pia
 
mpaka hap CDM inakazi kubwa ya kufanya 2015. Dah. hata nyie CCM msishangilie maana nyinyi wenyewe hamja fanana tabia.
 
Fuata misingi, sio watu, sehem ya pili: Vita dhidi yaufisadi.

Katika makala iliyopita tumeona namna kwa kupitiaMbunge wa Kawe CHADEMA ilivyoweza kutekeleza kwavitendo msingi wake wa kusimamia rasilimali za Taifa.Mbunge wa Kawe, Ndugu Halima Mdee, alifanikiwakupitisha hoja Bungeni yenye kutaka tathmini ya Ardhi naugawaji wa Ardhi hapa nchini. Ardhi ndio rasilimali pekeeambayo kila Mtanzania anaweza kufaidika nayo na hivyougawaji holela wa ardhi unatishia uwepo wa Taifalenyewe. Leo tunaendelea na mfano wa pili katikamfululizo wa makala 6 kuhusu ufuasi wa misingi ya chamabadala ya ufuasi wa watu kwenye chama.
Katika msingi ambao CHADEMA imejitambulisha nao kwakiasi kikubwa ni ule wa kupambana na ufisadi. Viongoziwa CHADEMA na hasa wabunge wake wamekuwa mstariwa mbele kuhakikisha kuwa vita dhidi ya rushwa,ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka inaendeleakuwa kipaumbele katika kampeni zake. Pamoja nakwamba juhudi za CHADEMA kuibua masuala ya ufisadihazijamaliza ufisadi, juhudi hizi zimewafumbua sanaWatanzania na hivyo nao kushiriki katika vita hii.
Kati ya mwaka 2007 na 2010 kumekuwa na maskandalimakubwa ya ufisadi yaliyoibuliwa na wananchi mbalimbalikupitia wabunge na vyombo vya habari. Mifano yamaskandali hayo ni pamoja na Wizi wa tshs 133 bilionikutoka Benki Kuu ya Tanzania, Wizi wa tshs 255 bilionikupitia kampuni ya Meremeta, wizi wa mabilioni ya fedhakupitia mfumo wa kuagiza bidhaa kutoka nje (Import Support), mkataba wa kuuziana umeme wa Richmond namauzo ya mgodi wa makaa ya mawe Kiwira. Kipindi hikikilikuwa ni kipindi ambacho Bunge lilikuwa linasubiriwakwa hamu maana kila mkutano wa Bunge ulikuwa namasuala nyeti ya kujadili kuhusu Taifa. Katika kuongozamapambano haya, wabunge wa CHADEMA ndio walikuwamstari wa mbele chini ya aliyekuwa Naibu Kiongozi waUpinzani Bungeni na Katibu Mkuu wa CHADEMA dkt.Willibrod Slaa.
Ndugu Slaa alikuwa anatekeleza msingi mmojawapo waCHADEMA wa uwajibikaji mbele ya wananchi. Alikuwaanatekeleza jukumu lake la kibunge la kuisimamia Serikalikwa vitendo kwa mwongozo wa misingi ya CHADEMA.Kwa kua Dk Slaa ni Mtanzania na ana ndugu na jamaahumu nchini, huenda kuna watu anao wajua ambaowalifaidi katika masuala haya. Na iwapo mbunge huyuangekuwa anajali maslahi ya watu binafsi ama angekuwamfuasi wa watu angeweza kufumbia macho masuala hayana Watanzania kwa kiasi kikubwa wasingepata fursa yakujua mambo haya.
Suala la EPA lilikuwa suala tete sana. Baada ya uchaguziMkuu wa mwaka 2005 na CCM kuibuka na ushindimkubwa sana wa asilimia 80 ya kura za Rais na hataBunge na kujizolea viti vingi sana Bungeni, siasa zaupinzani zilizorota kwa kukata tamaa. CHADEMA ilikuwaimeingiza wabunge wapya wanane kati ya wabunge wotekumi na mmoja alieingia Bungeni katika Bunge la Tisa.Ilibidi team hili jipya la wabunge wa CHADEMA lijipangesawa sawa kuhakikisha kuwa kazi ya Upinzani Bungeniinafanyika kwa ufanisi hasa ukizinagtia kuwa kambi yaUpinzani ndio unayofanya kazi haswa ya kuisimamiaSerikali. Kambi ya chama tawala mara nyingi hufanya kaziya kuishauri Serikali badala ya kuisimamia. Ufisadi waEPA ulikuwa ni mtihani kubwa sana kwa pande zote mbilindani ya Bunge.
Kwanza, ilibidi taarifa za awali za ufisadi huu kutafutwakutoka kwa walioshiriki kwenye ufisadi lakini wakawa namanunguniko kuwa hawakupata walichotaka, yaanimgawo wao. Mmoja wa waathirika aliandika ‘dossier' nakuisambaza kwenye mitandao ya internet. Kwa ujasirimkubwa sana Dkt. Slaa alitumia nyaraka hizizilizopatikana kwenye internet kutaka majibu ya Serikalindani ya Bunge. Bunge la Bajeti la mwaka 2007 lilitumikakwa mafanikio makubwa sana kuhakikisha kuwa majibuya Serikali kuhusu wizi wa akaunti ya EPA yanapatikana.Chini ya dkt Slaa kambi ya upinzani iliandaa hoja binafsi ilikupata azimio la Bunge kuchunguza na kuchukua hatuadhidi ya ufisadi huu.
Pili, changamoto kubwa ilikuwa ni kuhakikisha ajendainasimama mpaka ukweli ujulikane. Spika wa Bungealipotishia kunyonga hoja ya EPA ndani ya Bungetulikwenda kwa wananchi kwa kuanzia Jangwani nabaadaye MwembeYanga tarehe 15 Septemba 2007.Jangwani dkt Slaa alieleza hoja yake kwa ufasaha naMwembeYanga alitangaza orodha ya Watanzania 11wenye kashfa za kujibu kwa vyombo vya sheria. Orodhahii tuliita ‘list of shame'. Hoja iliendelea kusimamiwampaka uchunguzi wa kina kufanywa na Serikali kuwekawazi watu na makampuni yaliyoshiriki katika kukwapuamabilioni haya ya fedha za Umma.

Moja ya kazi iliyo tekelezwa na CHADEMA kwa nguvukubwa ni kuelimisha wananchi kupitia mikutano ya habarina maandishi yetu. Dkt Slaa alilinganisha fedha hizi nanyumba za Walimu, madarasa, kilometa za barabara nk.Kila mkutano wa hadhara au wa ndani, wabunge waCHADEMA waliutumia kuhakikisha ujumbe huu unafikiawananchi kwa lugha wanayoielewa. Serikali nayo ilitumaMawaziri na Manaibu Mawaziri kwenda kwa wananchikuwaelemisha upande wao. Wananchi hawakuwaelewana maeneo mengine Mawaziri walizomewa na wananchi.Nchi ilikuwa imevimba. Wananchi walikuwa wamefura kwahasira. Katika kipindi hiki na miezi ilio fuata, maelfu yawatu walijiunga na chama chetu kwa kuamini kwamba nichama cha misingi yenye manufaa kwa Taifa, mbali navyama vyenye ushabiki na ufwasi yenye kunufaisha watubinafsi.
Somo kubwa tunalolipata hapa ni kwamba iwapo chamacha siasa kikiwa na umoja kwenye hoja ya msingi nakuisimamia kwa pamoja mafanikio yanakuwa ni makubwasana. Mafanikio ya vita dhidi ya ufisadi yalitokana nawananchi wote, bila kujali vyama vyao, kuona viongozi waCHADEMA kwa pamoja wakisimamia suala hili lenyemanufaa kwa Tanzania kama taifa, na kulieleza kwa kinakwenye mikutano mbalimbali. Iwapo wanachama auviongozi wa chama cha siasa wataendekeza ufuasi kwamtu mmoja mmoja, watapofushwa na ufuasi huo nakutoshiriki kupeleka ajenda ya chama mbele. Halikadhalika, iwapo wanachama au viongozi wa chama chasiasa wakiamua kusimamia ajenda za chama kutokana namisingi ya chama hicho badala ya kusimamia ufuasi kwamtu, chama hicho lazima kifanikiwe katika malengo yake.
Dk Slaa hakusimamia hoja hili kama mtu binafsi, au kamakiongozi wa wafuasi wake, alisimamia hoja kama kiongoziwa chama, na zaidi, kama Mtanzania anae simamiamisingi ya chama chake kwa manufaa ya taifa nzima.Misingi ya kupinga ufisadi iliyowekwa na dkt Slaa kwenyehoja ya EPA ndio ambayo wabunge tuliobakia waCHADEMA tunaiendeleza. Hoja ambazo zimeibukabaadaye kama ufisadi kwenye manunuzi ya mafuta yakuendesha mitambo ya umeme unaoendelea mpaka hivisasa na hata kashfa ya mabilioni ya Uswiss nimwendelezo ya misingi hii. Ujasiri wa kulitumia Bungekujadili masuala ya msingi ya Taifa ni moja ya urithimkubwa sana ambao Dkt Slaa ametuachia wabunge waCHADEMA katika Bunge la Kumi. Kupuuza ujasiri huukwa kupendekeza ufuasi wa watu binafsi ni faida kwawapinzani wetu wa kisiasa, na hasara kwetu sisi wenyewekama wabunge wa upinzani, na ni hasara zaidi kwa Taifaletu ambalo linategemea kua Bunge litasimamia serikali.
Ufuasi wa misingi ya CHADEMA unatuelekezakuhakikisha kwamba hoja yeyote yenye kuimarishamisingi ya chama inayotolewa na mwanachamamwenzetu inasimamiwa mpaka mwisho. Mwisho nikuhakikisha hatua stahili zimechukuliwa maana haitoshi tukuibua masuala Bungeni au kwenye mikutano ya hadharana kuacha yakielea. Mwisho ni pale ambapo ama sheriaimetungwa au wakosaji wamefikishwa kwenye mikono yasheria. Ufuasi wa watu hupofusha. Ufuasi wa misingi yachama hurutubisha chama cha siasa.
Katika makala ijayo, tutaona namna Mwenyekiti waCHADEMA, ndugu Freeman Mbowe aliimarisha chamakutoka nafasi ya tano katika vyama vya upinzani hadinafasi ya kwanza, kwakuweka misingi ya chama mbele yaufuasi wa watu binafsi.

Mbona kamanda Zitto kamueloezea Slaa katika makala hiyo ya pili?.
TUACHE CHUKI WADAU!!
 
Ok got you sasa wewe umeplay part gani katika yale mambo mnayosimamia cdm?
Nimeweka Makala yote hapo juu. Nilianza na kupigania rasilimali hapo mfano ukawa Halima. Then vita dhidi ya ufisadi Slaa. Ujenzi wa chama Mbowe. Makala 3 zaidi zinakuja
 
Ndugu zangu hii ni Makala ya 3, ya kwanza nilimzungumzia dkt Slaa. Iliwekwa hapa jf. Hii hapa

Kaka tumia hii tafadhali

Fuata misingi, sio watu, sehem ya pili: Vita dhidi yaufisadi.

Katika makala iliyopita tumeona namna kwa kupitiaMbunge wa Kawe CHADEMA ilivyoweza kutekeleza kwavitendo msingi wake wa kusimamia rasilimali za Taifa.Mbunge wa Kawe, Ndugu Halima Mdee, alifanikiwakupitisha hoja Bungeni yenye kutaka tathmini ya Ardhi naugawaji wa Ardhi hapa nchini. Ardhi ndio rasilimali pekeeambayo kila Mtanzania anaweza kufaidika nayo na hivyougawaji holela wa ardhi unatishia uwepo wa Taifalenyewe. Leo tunaendelea na mfano wa pili katikamfululizo wa makala 6 kuhusu ufuasi wa misingi ya chamabadala ya ufuasi wa watu kwenye chama.
Katika msingi ambao CHADEMA imejitambulisha nao kwakiasi kikubwa ni ule
Wewe kaka ndo zitto niliyekuwa na mfaham siku za nyuma, makala zako kwa muelewa zitakijenga chama.
Ila mi nawaomba wana cdm someni makala za zitto kwa makini ni mtamuelewa na amesema anamfululizo wa makala 6 halaka ya nn kufanya hitimisho na kumuhukum?
Mi naona zitto kabadilika na sie tumsapoti sio kumkadia hata kwa mazuri ya kuijenga cdm.
Umefanya jambo la maana kuja mapeme kutoa ufafanuzi.
Na wewe ndo zitto HALISI.
 
Kaka Zitto utafaa sana kuwa mwalimu wa Political science hata pale UDSM kwa nadharia zako tamu lakin tatizo unayoyasema mara nyingi ni tofauti na matendo, ona jinsi mara nyingi ulivyokuwa ni mtu wa kujijenga wewe kuliko chama, niseme tu kwamba mchango wako wa kutuvutia CHADEMA ni mkubwa lakin pia mchango wako wa kutuvunja moyo ni kubwa sana na hatutakusahau kabisa.
Pia nimalize kwa kuonesha ni jinsi gani ulivyotafauti na matendo yako. Soma hii nukuu yako.
"YOU CAN NOT DESTROY ZITTO OR DESTROY THE IMAGE OF ZITTO WITHOUT JEOPARDIZING THE IMAGE OF CHADEMA,
"ZITTO IS CHADEMA AND CHADEMA IS ZITTO YOU CANT KILL ZITTO AND EXPECTING CHADEMA TO SURVIVE"

Shardcole.
 
Last edited by a moderator:
Nina mashaka sana na makala hii, ni kweli Mh. Mbowe amekijenga chama, lakini kwa mtu mkweli na asiye na malice haweze
Kumsahau Dr. Slaa kumhusisha na nguvu ya Chadema iliyopo sasa. Ufuasi wa watu anaongolea Mh. Zito ni pamoja na kumshabikia mtu bila
Sababu za msingi au kutotambua juhudi za mtu bila sababu (kama anavyo onyesha Mh. Zito juu ya Mh. Dr. Slaa). Tutaenda mbele kama
tunaheshimiana wala sio kwa kupuuza juhudi za wazi za wengine kwa kusifia baadhi ili watunge mkono.

Nadhani pumba zitajichuja hata kama zilianza kutoka mashineni kabla ya mchele, na tutafika salama tu.
Mkuu nadhani kasema kuna - partyII namna walivyopata madiwan na wabunge wacha tungoje...
 
Ok got you sasa wewe umeplay part gani katika yale mambo mnayosimamia cdm?

Mbona una haraka kaka. usiforward movie. Raha upate ule msisimko wa dakika kwa sekunde. kama unataka muhtasari basi neno makala 6 halitakuwa na maana iliyokusudiwa.
 
Nimeweka Makala yote hapo juu. Nilianza na kupigania rasilimali hapo mfano ukawa Halima. Then vita dhidi ya ufisadi Slaa. Ujenzi wa chama Mbowe. Makala 3 zaidi zinakuja

Haya bwana....
Naona kweli umedhamiria kubadilika, yale majibu ya Jazba yanaanza kupungua...
Huku ndio kukua sasa, unazidi kujitambua, then kadri unavyokua utakomaa zaidi!!
 
and who are you to answer that?? are you his pr or his secretary?? give me a break i didnt address the question to you
Mbona una haraka kaka. usiforward movie. Raha upate ule msisimko wa dakika kwa sekunde. kama unataka muhtasari basi neno makala 6 halitakuwa na maana iliyokusudiwa.
 
Hyu ZZZK ni mnafiki hana lolote hata anapokuja hapa nje huwa tunamsikiliza anavyoongea ila kwa kufanya uchunguzi wa maneno yake utajua anakinyongo fulani. Cha msingi Mboye, Dr Slaa, Nyerere, Mnyika, Lema, Milya na wengine wengi ni majembe yakutosha hatumuhitaji yeye. Hapa nje sisi tunajipanga nakuona ni jinsi gani tunaweza kukisaidia chama hasa wakati wa uchaguzi. Wenzangu wote mlioko nje ya nchi mtakubaliana na mimi kwamba tukishikimana kwa kukisaidia chama tutashinda. Ee Mungu tusaidie.
you are wrong my friend.. kama unaendeshwa na chuki we endelea ila kama unaendeshwa na ukweli na upenzi wa democrasia,,, fikiri tena kwa mara nyingine.
mwenyekiti wako MBOWE hafikiri kama unavyofikiri wewe, na waliofanya kazi na ZZK wanamjua vizuri na ndio maana ahkuna na wala hatatokea yeyote kati yao atakayemnyooshea kidole ZZK zaidi ya hawa WAFUASI WA WATU akina BEN saanane. take it from me brother.... HAKUNA MWENYE UWEZO WA KUMUONDOA WALA KUMTETEMESHA ZZK ndani ya chadema na MBOWE na ZZK hawakukutana barabarani....
huyo dr SLAA ni CHACHANDU tu ndani ya chama kwa ajili ya kunogesha msosi lakini hata bila kuwepo watu watakula na kushiba.. ila kwa sababu wengi mnaendeshwa na ushabiki!!!! poleni
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom