Zitto: Tunapokea bil 640 na tumepoteza tril 1.8 ya capital gain ya makinikia kwa ubabe usio na tija

Zitto kitu ambacho hajui ni kwamba Acacia bado inaweza kununuliwa na kampuni nyngne tukapga ndege wanne kwa jiwe moja,tukapa tax gain ya tr 1.8 ,plus bil 700 za sasa ,bado tukawa na 50/50 pamoja na 16%,Magu piga kazi baba tuko nyuma yako
To buy acacia at this moment is risky business.
 
Cha kushangaza hata hizo bil 640 zinatolewa kwa grounds zipi? Tunapoozwa tu au ndio tuliomba "msituache mikono mitupu"
Kama ulimsikia bwana J. Thornton, alisema wanazitoa kwa nia njema, labda kutupunguzia makali ya umasikini. Mkuu kasema anataka zilipwe haraka, sasa sijui alichosema bwana Thornton kimekuwa nadhiri?
 

BAHARI,
Graph,Nimekuelewa lakini kuna vitu amtu anaweza kukuringia kama mwekezaji sio gold Ndugu leo kila nchi inayo endela inataka kuweka reserve ya gold wachina,Brazil,Vietnum,India NK.Na hisa zilishuka sawa ila kupanda kwake haita chukua muda Gold ni bidhaa nyingine sio pamba wala kahawa inaitwa GOLD.Dini lenye thamani namba tano duniani.

LUMUMBA
 
Zitto kitu ambacho hajui ni kwamba Acacia bado inaweza kununuliwa na kampuni nyngne tukapga ndege wanne kwa jiwe moja,tukapa tax gain ya tr 1.8 ,plus bil 700 za sasa ,bado tukawa na 50/50 pamoja na 16%,Magu piga kazi baba tuko nyuma yako
Ni kweli kabisa unapokuwa mpinzani si kila jambo lazima jambo upinge kuna mambo mengine unatakiwa kupongeza kwa hili rais amethubutu na faida kubwa inaonekana kwa taifa.
Tumepata bilion 700 pamoja na mazagazaga yake lakini pia bado biasha ya kuuza inaweza ikafanyika na huku mazungumzo yakiendelea kwa manufaa ya watanzania na taifa kwa ujumla nikukumbusho Mhe. Zitto kwa hili umechemka,
Mwanasiasa aliyeiva huwa hapingi kila jambo ila pele mwana siasa mwenzako anapofanya jambo zuri unapaswa kumpongeza na huo ndiyo uungwana, uzalendo na kujali inchi yako hongera JPM

WAVEJA SANA NKOI.
 
Nyie kina Zitto ndio eti viongozi tunaowategemea!!!! utaendelea kuwadanganya hao hao ACT waliobakia.
"Eti kuna maaongezi yalikuwa yanaendelea ya kuuziana Accacia.... kweli mmeshikwa pabaya. yaani unatuaminisha matarajio hewa.
 
Samani Ipi hiyo wakati makinikia yanyewe ilikua licha ya underpriced madini menge yaliyokuwepo kwenye makenikia hayakutajwa? Je kwako ni furaha makenikia yangeendelea kusafishwa tukisubuli hiyo timu yako? Hii n
 
Lakini Mimi naona makubaliano mengine ni zaidi ya pesa ambapo nchi inaweza kunafaika zaidi kwa muda mrefu zaidi kama vile 50 kwa 50 na serikali kumiliki hisa ya asilimia 16 Mimi naona si haba ungawa zitto anabeza kila kitu
 
Zitto angesubiri hiyo week moja halafu ule mchanga ungekuwa wapi? Wote kusema kweli hatupendi wizi wa kupindukia na uzembe ulifanywa na chama tawala mpaka inafika tunaomba kinga ya marais wastaafu iondolewe. Lakini kwa mapenzi ya nchi tunaunga mkono juhudi zo zote za kweli kupigania haki yetu na maendeleo ya kweli. Sasa nyie wapiga dili kwa kupitia siasa msituchanganya kabisa. We wala huwezi kujinadi kama kiongozi wa mfano. Wacha Kamba hapa unapinga kwa sababu ya kupinga uonekane umesema na wala si kwa uchungu au imani na mapenzi ya nchi, wacha kubabaika.
 
Vyovyote iwavyo mabadiliko yaliyofanyika yana manufaa kwa siku za

usoni
 
Zitto tatizo unaendeshwa na matukio, ifike wakati muweke wazi hoja zenu,
Je, rais alikosea kuzuia makinikia?
Je, Rais alikosea kuunda kamati za uchunguzi wa mchanga na madini?
Wewe kama zito ungefanyaje ili Tanzania inufaike na madini yake?
# upinzani wa kijinga sana huu
 
Wewe ni Lumumba wa Congo eeh!
Unauliza uwepo wa Zitto kwenye hoja za madini,are you ok kweli au?
Zitto alikuwepo kutafuta maslahi bora ya madini kwa watanzania wakati LUMUMBA ya Tanzania inamtoa nje bungeni.
Ni kama Tundu Lissu alivyotokwa na jasho huko kanda ya ziwa akiteteta wenyeji wa maeneo ya madini na Taifa linufaike,na kwa hoja zilezile tena za sasa ni dhaifu munakuja kumpigia mtu makofi aonekane ni mkombozi wakati Lumumba wenzio walikuwa watokwa na jasho kuzuia mijadala yebye maslahi na "masiah"akiwemo.
 
Nadhani lugha za staha zingetujenga zaidi katika kuwasilisha hoja zetu. Pia tukumbuke kuwa akili ni nywele kila mtu ana zake.... Tujikite muda wote kwenye hoja. Kugawana profit 50/50 kwangu mimi naona inaweza kutuingiza kwenye shida kubwa kama taifa. Ikumbukwe kuwa kuna wakati kampuni inaweza kupata "negative profit" kwa kiswahili tunaita hasara. Faida hii nayo kama wanahisa ambao tunagawana 50/50 ni lazima pia tuigawane kwa uwiano huo huo. Wasomi na wachumi hasa wale wenye phd ebu tusaidieni hapa hesabu hii haili kwetu? Nawasilisha.
 
Tumepoteza uaminifu kwa wawekezaji igawa tumelipwa kifuta jasho sio deni afadhali wangesema tumelipa kodi tuliyokwepa hili ni baya kwa kundi la wafanyabiashara duniani kumbe tulikuwa waongo ila tunataka kupewa sehemu ya faida katika biashara ambayo hatujawekeza jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…