comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,014
- 6,832
Kama akaunti yake haijadukuliwa Mheshiwa Zitto AMENDIKA haya:
mwaka 2016/17 Wafanyakazi wote wa sekta ya Umma na Sekta Binafsi walichangia jumla ya shilingi trilioni 3 kwenye mapato yote ya Serikali kulinganisha na Wenye mitaji ambao watachangia jumla ya shilingi bilioni 900 tu kutoka kwenye kodi za faida/gawio, ongezeko la mitaji na riba (taxes on income/interests, profits and capital gains ). Kwa hiyo 75% ya Makusanyo ya Kodi ya Mapato inatoka kwa Wafayakazi na 25% inatoka kwa Waajiri.
TUCTA inapaswa kutumia takwimu kujenga hoja za kutaka nyongeza za mishahara na kupunguza makato ya Kodi, Hifadhi ya Jamii na hili la 15% ya Bodi ya Mikopo
Swali langu kwake-
Bhakresa na Mengi anawaweka wapi maana wao wanalipwa mishahara na makampuni yao inayotokana na mitaji yao; faida wanayotengeneza inakatwa kodi tena 30%
mwaka 2016/17 Wafanyakazi wote wa sekta ya Umma na Sekta Binafsi walichangia jumla ya shilingi trilioni 3 kwenye mapato yote ya Serikali kulinganisha na Wenye mitaji ambao watachangia jumla ya shilingi bilioni 900 tu kutoka kwenye kodi za faida/gawio, ongezeko la mitaji na riba (taxes on income/interests, profits and capital gains ). Kwa hiyo 75% ya Makusanyo ya Kodi ya Mapato inatoka kwa Wafayakazi na 25% inatoka kwa Waajiri.
TUCTA inapaswa kutumia takwimu kujenga hoja za kutaka nyongeza za mishahara na kupunguza makato ya Kodi, Hifadhi ya Jamii na hili la 15% ya Bodi ya Mikopo
Swali langu kwake-
Bhakresa na Mengi anawaweka wapi maana wao wanalipwa mishahara na makampuni yao inayotokana na mitaji yao; faida wanayotengeneza inakatwa kodi tena 30%