Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,557
- 19,107
Haya maneno uliyoyatumia ilikua ni muhimu ufanye hivyo mkuu?Zitto na cancer ya machunusi usoni ni KIBARAKA wa MABEBERU
Haya maneno uliyoyatumia ilikua ni muhimu ufanye hivyo mkuu?Zitto na cancer ya machunusi usoni ni KIBARAKA wa MABEBERU
Sandinistas, NDIYO MAANA NAMUULIZA ANIFAFANULIE NANI WANATENGENEZA 3 T NA NANI WANATENGENEZA 900B NA KWA NINI WENYE MAKAMPUNI NA MITAJI ANAWATOA KWENYE 3TArgue, do not lose temper and shout! Do not take it personally either. Anakera kwa vipi? Chambua bandiko lake na kulisambaratisha kwa hoja yenye takwimu. Short of that kee quiet.
Haya maneno uliyoyatumia ilikua ni muhimu ufanye hivyo mkuu?
Zitto ameweka figures!Zitto ni moja ya wapika data wazuri, usipokuwa msomaji na mfuatiliaji wa mambo utamwamini kwa 100%.
Ukweli ni kuwa zitto ni moja ya wapiga hela wakubwa wa nchi hii.
Hana credibility ya kukosoa ujinga wa serikali.
All are the same.
Watakuwemo kwa zile individual taxes wanazolipa wao binafsi!johnthebaptist, Bakhresa na Mengi hawamo kwenye hiyo 75%?
Anawaweka wapi kivipi wakati ameshasema "Wafanyakazi WOTE wa sekta ya umma na binafsi wanachangia 75% na makampuni/waajiri wanachangia 25% ?!Swali langu kwake-
Bhakresa na Mengi anawaweka wapi maana wao wanalipwa mishahara na makampuni yao inayotokana na mitaji yao; faida wanayotengeneza inakatwa kodi tena 30%
Ni lazima wajumuishwe kama Zitto alivyosema sijaona kosa kwasababu Bhakresa na Mengi kwa sura ya kwanza kama wapo kwenye Payroll ya wafanyakazi kukatwa kodi ya PAYE ni sahihi. Alafu kwa sura ya pili, wao watagawana faida ya kampuni zao pia. Wao wanabenefit mara mbili kwanza kama wafanyakazi katika kampuni alafu kama wenye makampuni yao kwa kupata dividend (Gawio). Wakati mfanyakazi wa kawaida katika kampuni yeye anaishia kupata mshahara tu basi.Kikiwo, kwa maelezo yako mazuri ni sahihi kutowajumuisha Bakhresa na mengi katika 3 T alizosema Mh. Zitto?
kwa hiyo anachosema ni kweli ila tu sio kweli kwa sababu yeye ni mpiga hela wa nchi hii. nyie watu mna shangaza sana sanaZitto ni moja ya wapika data wazuri, usipokuwa msomaji na mfuatiliaji wa mambo utamwamini kwa 100%.
Ukweli ni kuwa zitto ni moja ya wapiga hela wakubwa wa nchi hii.
Hana credibility ya kukosoa ujinga wa serikali.
All are the same.
Unajua conflict of survival? He is striving for any gain at least.kwa hiyo anachosema ni kweli ila tu sio kweli kwa sababu yeye ni mpiga hela wa nchi hii. nyie watu mna shangaza sana sana
chige, twende pole pole Mengi, Bakhresa, METL, Acacia wao hawalipi PAYE?Anawaweka wapi kivipi wakati ameshasema "Wafanyakazi WOTE wa sekta ya umma na binafsi wanachangia 75% na makampuni/waajiri wanachangia 25% ?!
Au hujaelewa hiyo sentensi?!
Ni kwamba, kati ya makusanyo ya mapato yote ya kodi; 75% inatokana na Pay As You Earn... PAYE! Yaani kodi wanayokatwa wafanyakazi kwenye mishahara yao!
Hao akina Mengi, Bakhresa, METL, Acacia n.k; wote hao, kodi wanayolipa kutokana na makusanyo ya mapato ya kodi is ONLY 25%!!
Kwa maana nyingine, Wafanyakazi ndio wachangiaji wakubwa kwenye mapato yanayotokana na kodi ukilinganisha na Wafanyabiashara!
Sasa tatizo lipo wapi hapo?!
Wewe unayechunguza chunusi usoni unatafuta mume handsome eeh? Endelea kuchunguza tu utapata ambao hawana machunusi!!Zitto na cancer ya machunusi usoni ni KIBARAKA wa MABEBERU
johnthebaptist- Mh. Zitto amesema "Kwa hiyo 75% ya Makusanyo ya Kodi ya Mapato inatoka kwa Wafayakazi na 25% inatoka kwa Waajiri" ni tamko lisilo sahihi SIYO kwa sababu wafanyakazi hawachangii chochote kwenye 25% ya mapato ya serikali wakati akina MENGI NA MO wanachangia kwenye 75% na 25%Watakuwemo kwa zile individual taxes wanazolipa wao binafsi!
Asante kwa kutufumbua macho kuwa serikali ina ujingaZitto ni moja ya wapika data wazuri, usipokuwa msomaji na mfuatiliaji wa mambo utamwamini kwa 100%.
Ukweli ni kuwa zitto ni moja ya wapiga hela wakubwa wa nchi hii.
Hana credibility ya kukosoa ujinga wa serikali.
All are the same.
HAWALIPI na kama unadhani wanalipa basi nami nipe ilmu wanalipa lipa vipi!chige, twende pole pole Mengi, Bakhresa, METL, Acacia wao hawalipi PAYE?
Sasa umepitiliza mkuu, ndio nn Sasa umeandika??Zitto na cancer ya machunusi usoni ni KIBARAKA wa MABEBERU
Daah! lugha gani umeichanganya hapo?M-mbabe, AMNINI NINA KWAMBIA BHAKRESA NA MENGI WAPO KWENYE PAYROLL ZA MAKAMPUNI YAO NA WANALATWA PAYE KAMA WEWE- KAMUULIZE MBOWE ATAKWAMBIA.
HALAFU MAKAMPUNI YAO YANALIPA TENA KODI YA MAKAMPUNI
HALAFU TENA WNALIPA KODI KAMA WAKUTUGENZI
ZAIDI YA HAYO MITAJI WAMETAFUTA WAO
chige, wakurugenzi wanalipwa mishahara na makampuni yao; kwa vile wanalipwa mishahara wanakatwa PAYE; na kwa kuwa wanamiliki makampuni makampuni waliyoyaanzisha kwa mitaji yao wanalipa kodi ya makampuni nkHAWALIPI na kama unadhani wanalipa basi nami nipe ilmu wanalipa lipa vipi!
Zitto ni moja ya wapika data wazuri, usipokuwa msomaji na mfuatiliaji wa mambo utamwamini kwa 100%.
Ukweli ni kuwa zitto ni moja ya wapiga hela wakubwa wa nchi hii.
Hana credibility ya kukosoa ujinga wa serikali.
All are the same.

shaabash.