Baba Hellen
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 763
- 91
Hujanigusa japo a mimi nilishazinduka usingizini
CHADEMA ingekuwa salama sana bila Zitto. Haya yote ya akina Rwakatare source ni Zitto na tamaa zake. Akina shonza na Mwampamba wanahangaika na kulialia jamvini sababu ni Zitto na tamaa zake. Mara kalishwa sumu Bagamaoyo, mara wamelegeza tairi apate ajali. who is he by the way? anajifanya yeye nimaarufu sana, akilazwa hata kwa malaria anawaita Mwananchi wampige picha wamtoe gazetini. Zitto ana MANIC disoder, anapenda sana kuforce attention. Umaarufu mzuri ni ule unaopata naturally sio wa kununua waandishi na kutengeneza mitandao na ushirikina.
Kuna watu wanafikiri mh. Zito kabwe sivyo alivyo, zito kabwe amekulia chadema amepewa nafasi ya kugombea ubunge kupitia chadema amekuwa waziri kivuli wa chdema na umaarufu ameupata kupitia chadema kuota kama mh. Zito atahama chadema ni sawa na kutamani kwenda peponi kisha unaogopa kufa. Zito kabwe is not a cheap politician ni mwanasiasa muelewa mfutatialaji tatizo kuna watu wangependa aachne na mapambano ya kuibana serikali hii inayowaibia wananchi wazwazi kwa ufisadi uliokithiri.
Ha Ha haa! ! !
acha utotokila kukicha zittooo zitto. Sijui mmetuwa ?? Hii sasa imekuwa kero kama ya maji vijijini. Waswahili si walisema kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza ? Na wengine waliongezea "debe tupu haliachi kuvuma" anayefikiria vizuri atafakari
Kuna watu wanafikiri mh. Zito kabwe sivyo alivyo, zito kabwe amekulia chadema amepewa nafasi ya kugombea ubunge kupitia chadema amekuwa waziri kivuli wa chdema na umaarufu ameupata kupitia chadema kuota kama mh. Zito atahama chadema ni sawa na kutamani kwenda peponi kisha unaogopa kufa. Zito kabwe is not a cheap politician ni mwanasiasa muelewa mfutatialaji tatizo kuna watu wangependa aachne na mapambano ya kuibana serikali hii inayowaibia wananchi wazwazi kwa ufisadi uliokithiri.