Msabaha lk
Member
- Apr 21, 2012
- 84
- 21
Napita tu huyu zito huyu asipo kuwa Rais sijui! Ila tusubiri mchakato wa kichama! Ila kwa jinsi nionavyo Kabwe hawezi kushindanishwa na Gamba lolote
Dah! Kwamawazo haya ukombozi uko mbali saanaAkuongoze ww na familia yako! Nani kakuambia tunahitaji rais kwa muda huu? Fanya kazi usije ukafa maskini wanao wakaja kulalamika,
Pumba tupu, majungu tu yana kusumbuaMkuu, utasema mengi sana juu ya Zitto wala sintakukatalia, nitasema ni kweli kabisa. Ila nitakukumbusha mambo matatu ambayo ndio tatizo kubwa la Zitto;
- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko watu wote Chadema - hivyo anapaswa kuwa Mwenyekiti wa Chadema
- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko wabunge wote - hivyo anapaswa kuungwa mkono kila hoja anayotoa
- Zitto anadhani yeye ndie mwenye busara kuliko Watanzania wote - hivyo anapaswa kuwa raisi wa nchi hii
Mkuu, utasema mengi sana juu ya Zitto wala sintakukatalia, nitasema ni kweli kabisa. Ila nitakukumbusha mambo matatu ambayo ndio tatizo kubwa la Zitto;
- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko watu wote Chadema - hivyo anapaswa kuwa Mwenyekiti wa Chadema
- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko wabunge wote - hivyo anapaswa kuungwa mkono kila hoja anayotoa
- Zitto anadhani yeye ndie mwenye busara kuliko Watanzania wote - hivyo anapaswa kuwa raisi wa nchi hii
Ni kweli ameingia bungeni akiwa kijana mno lakini hii kwa mtizamo wangu inaonyesha jinsi wananchi walivyo na kiu ya mabadiliko na kumbuka Mrema alivyoichemsha CCM
Shida kubwa ya Zitto ni kuwa hasimami katika kivuli cha Chama,anapenda kusimama peke yake.
Kuna mambo ambayo pia hayaeleweki vizuri na yanatusumbua sisi mashabiki wake na mojawapo likiwa mawasiliano yake na kaimu mkuu wa UWT,hili ni jinamizi ambalo litamwandama sana.
dah! Kwamawazo haya ukombozi uko mbali saana
Chadema jiepusheni na mijadala kama hii lengo ni kuvurugwa ndani na nje!!
Tupambane na CCM ndio adui pekee!!
Mkuu, utasema mengi sana juu ya Zitto wala sintakukatalia, nitasema ni kweli kabisa. Ila nitakukumbusha mambo matatu ambayo ndio tatizo kubwa la Zitto;
- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko watu wote Chadema - hivyo anapaswa kuwa Mwenyekiti wa Chadema
- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko wabunge wote - hivyo anapaswa kuungwa mkono kila hoja anayotoa
- Zitto anadhani yeye ndie mwenye busara kuliko Watanzania wote - hivyo anapaswa kuwa raisi wa nchi hii
Mkuu, utasema mengi sana juu ya Zitto wala sintakukatalia, nitasema ni kweli kabisa. Ila nitakukumbusha mambo matatu ambayo ndio tatizo kubwa la Zitto;
- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko watu wote Chadema - hivyo anapaswa kuwa Mwenyekiti wa Chadema
- Zitto anadhani yeye ndiye mwenye busara kuliko wabunge wote - hivyo anapaswa kuungwa mkono kila hoja anayotoa
- Zitto anadhani yeye ndie mwenye busara kuliko Watanzania wote - hivyo anapaswa kuwa raisi wa nchi hii
Kama utakuwa uko huru kifikra wala cio ushabiki utaona mheshimiwa ZITO ni kiongozi makini kwann nasema ivo yy ndo chachu ya ukombozi tazama aliingia bungeni akiwa kijana mdogo lakin mzee wa mvi kwa hoja tazamA michango yake bungeni, tazam hoja binafsi anazopeleka bungeni bila shaka kuna watu hawana shukrani mm ZITO hanijui wala cmjui zaidi ya hoja zake msimamo kijiamini.watu wanaweza kumsema vibaya kwa kuwa hawapendi ukweli wanafata majina makubwa ya chama ambapo wasingependa uhoji hoja zao u have to accept anything they say and don challenge. Wapo watu hawaangallii historia ZITO ndio amewaspire vijana wengi kupenda siasa. NINGEPENDAA ZITO AWE RAIS WANGU WA5. SBB ANAUWEZO,ANAJIAMINI,ANARECORD NZURI, HAKUBALI KUBURUZWA PALE HAKI INAPOPINDISHWA. ILA NAJUA VIKWAZO NI VINGI NAWAONA MADIKTETA WA HOJA,WASHABIKI WA WATU BADALA SERA NA HOJA ZA MTU. NAMUOMBEA MUNGU AMLINDE NA KILA MWENYE NIA MBAYA NA MKOMBOZI HUYU WA TAIFA LA TANZANIA,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA