Kama utakuwa uko huru kifikra wala cio ushabiki utaona mheshimiwa ZITO ni kiongozi makini kwann nasema ivo yy ndo chachu ya ukombozi tazama aliingia bungeni akiwa kijana mdogo lakin mzee wa mvi kwa hoja tazamA michango yake bungeni, tazam hoja binafsi anazopeleka bungeni bila shaka kuna watu hawana shukrani mm ZITO hanijui wala cmjui zaidi ya hoja zake msimamo kijiamini.watu wanaweza kumsema vibaya kwa kuwa hawapendi ukweli wanafata majina makubwa ya chama ambapo wasingependa uhoji hoja zao u have to accept anything they say and don challenge. Wapo watu hawaangallii historia ZITO ndio amewaspire vijana wengi kupenda siasa. NINGEPENDAA ZITO AWE RAIS WANGU WA5. SBB ANAUWEZO,ANAJIAMINI,ANARECORD NZURI, HAKUBALI KUBURUZWA PALE HAKI INAPOPINDISHWA. ILA NAJUA VIKWAZO NI VINGI NAWAONA MADIKTETA WA HOJA,WASHABIKI WA WATU BADALA SERA NA HOJA ZA MTU. NAMUOMBEA MUNGU AMLINDE NA KILA MWENYE NIA MBAYA NA MKOMBOZI HUYU WA TAIFA LA TANZANIA,MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA