Zitto ni kiongozi shupavu

Zitto ni kiongozi shupavu

Status
Not open for further replies.
Kuna watu wanafikiri mh. Zito kabwe sivyo alivyo, zito kabwe amekulia chadema amepewa nafasi ya kugombea ubunge kupitia chadema amekuwa waziri kivuli wa chdema na umaarufu ameupata kupitia chadema kuota kama mh. Zito atahama chadema ni sawa na kutamani kwenda peponi kisha unaogopa kufa. Zito kabwe is not a cheap politician ni mwanasiasa muelewa mfutatialaji tatizo kuna watu wangependa aachne na mapambano ya kuibana serikali hii inayowaibia wananchi wazwazi kwa ufisadi uliokithiri.

Invisible mkuu watu kama hawa sio wa kuwaumbua na I'D Bali kuwafutia kabisa post zao.


juzi katukana jf mzima kuwa ni wapumbavu kule jukwaa la malalamiko,leo mnamlea tu huyu bee.ge.!!!
 
Last edited by a moderator:
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana hivyohivyo wanamuogopa zitto atakapoingia madarakani atautingisha mfumo kama Jk Kikwete.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.
 
Yetu macho na masikio, wakati utatuambia ukweli. Ila ukitaka usiongelewe sana tofauti acha ukigeugeu katika siasa. Chadema imarisheni intelijensia ya chama.
 
Kwa nini mnapenda kumsemea Zitto ili hali yumo humu???!!

Cha ajabu Zitto nae anakubali kusemewa,hakika anajuana na kundi lake na mchezo wao wa diversion and defend,ni Undumi la kuwili na kujiona wajuvi ili halo ni upuuzi!!!
 
Pro SSM at work!! Ha ha ha!! Kama si Zitto, basi utasikia Dr, Kama si Dr. Basi ni Mwenyekit, kama si Mwenyekiti ni wale wabunge wanaowakilisha watanzania kiukweli bungeni na hawana nafasi ya kusinzia na kutokwa na udenda na tongotongo. Hakika CDM inaumiza watu vichwa!!! Hata masalia hawana nafasi!!! Hata mnunue watu kwa ugaidi haitawezekana!! CDM ni mkombozi.
 
Ha Ha haa! ! ! CCM acheni provocation,tunajenga chama.

Sawa kamanda ila imarisheni indelijensia ya chama ili matukio kama ya Lwakatare yasitokee tena kwa kushtukiza bali yafichuliwe mapema kama yale ya masalia.
 
La lwakatare limeshagonga mwamba.Naona Zitto ndio kete ya mwisho ya CCM!Asipotetereka CCM nunueni panadol kila mtu lile kopo kubwa linalokaa vidonge elfu moja!
 
Kuna watu wanafikiri mh. Zito kabwe sivyo alivyo, zito kabwe amekulia chadema amepewa nafasi ya kugombea ubunge kupitia chadema amekuwa waziri kivuli wa chdema na umaarufu ameupata kupitia chadema kuota kama mh. Zito atahama chadema ni sawa na kutamani kwenda peponi kisha unaogopa kufa. Zito kabwe is not a cheap politician ni mwanasiasa muelewa mfutatialaji tatizo kuna watu wangependa aachne na mapambano ya kuibana serikali hii inayowaibia wananchi wazwazi kwa ufisadi uliokithiri.

dhumuni kubwa la hii post haswa ni nini? Labda kuna maneno umeyaacha mkuu sijaielewa. Na kama imeishia hapo utakuwa unaidanganya nafsi yako maana wewe si zitto usimsemee.
1. Hajazaliwa chadema usitudanganye.
2. Hatafia chadema, usitupotoshe.
 
Zitto anapendwa sana na viongozi wake wa chama yaani Mbowe Slaa na wengineo tatizo hafiti katika mfumo unaohitajika kuendelezwa. Ukweli hakuna Raisi aliyeweza kuiongoza Tanzania kwa mafanikio ukilinganisha na waliopita zaidi ya kikwete ila kautingisha mfumo ndio maana anachukiwa sana hivyohivyo wanamuogopa zitto atakapoingia madarakani atautingisha mfumo kama Jk Kikwete.
Tanzania tutabakia maskini mpaka pale mfumo utakapovunjwa kwani mfumo wa sasa unawatenga zaidi ya 50% ya wananchi wake.
Mfumo unatumia rasilimali za Taifa kwa kuzisafilisha kwenda Vatican na baadae kurudishwa kidogo kama msaada ila ukilenga kundi la wananchi na wengine kuminywa.
Mungu ni mkubwa kidogokidogo yataisha hata ikibidi kwa mtutu.

Yaani umekaa kabisa kuwa na wewe umetoa hoja? Suala la EPA, Richmond, mikataba mibovu ya madini na deepgree scandal ndio maana ya JK kutingisha mfumu? Wewe ni mdini na hiyo kansa itawatafuna daima.
 
Ben asingechangia mjadala unaomuhusu Zitto ningeomba nipigwe Ban la miezi mitatu halafu cha kushangaza Zitto hana time nae wala hutamsikia akimjadili kwa Wema au ubaya Mtandaoni!

Nimejiunga JF tangu 2007,Habari inayokihusu chama changu ni lazima niifuatilie bila kujali ni nani anajadiliwa.Taasisi kwanza
 
Nimefanya utafiti wa kina nimegundua kuwa Zito ndio jembe pekee linaloweza kupata kura ya urais kama akigombea kwani baada ya sakata lililopo la lwakatare Jina la Dr limeanza kufifia kwa kasi kwani muda si mrefu Ludo ataanza kutoa siri.
Wanachama wengi wa mikoani wanamkubali sana zito kuliko Slaa ambaye anaonekana kukubalika maeneo ya njiro na karatu tu. juzi niliongea na vijana wenzangu pale unga ltd na wengi walionekana kumsifia sana ZZK

Hivi unajua katika uchaguzi wa 2010 ZITTO alipata kura ngapi na aliyemfutia alipata kura ngapi? Kama huna data muulize mwenyewe akueleze jinsi alavyonusurika ili uache kubwabwaja!!
 
mkuu umeongea point zzk ni mtu makini sana baadhi ya watu hawataki kuamini namkubali sana mtu huyu endapo akipata nafasi kugombalia 2015 basi chadema watapata kura yangu tofauti na hapo imekula kwao nakumbuka ufanisi wake wa uchapa kazi ulinivutia mimi kumfata dodoma bungeni kuona live ufanisi wake.naamini siku moja atakuwa rais wa nchi ni mtu makini sana much blesed to zzk





View attachment 87816

>Ningependa zzk atutumikie kwa muda mrefu zaidi waTZ,
>Sitopenda kumuona anachukua urais na kustaafu mapema hii.
>kama sikosei zzk umri wake ni miaka 36 +2 =38, mwaka 2015
38 + 10 =48
>angalau umri utakuwa unaridhisha,atakuwa anaubora na uzoefu mara dufu ya alionao.

>sasa 2015 atakuwa na miaka 38 kama sikosei.
38 +5= 43
akibahatika kupata awamu ya pili ya urais, 43 + 5 =48

>kwahiyo anataka aachane na siasa akiwa na miaka 48?
AKAFANYE NINI MTAANI?

>Zitto tunamhitaji kwa muda mrefu zaidi kwani ni kiongozi bora.

>Labda ningependa awe mgombea mwenza 2015 ama Ikiwa bahati cdm ikichukua nchi aje kuwa waziri mkuu akijiandaa kuchukua nchi akiwa na miaka 48 baada ya awamu ya pili ya CDM kama washika dola..



>EIDHA, ZZK AKIWA MGOMBEA MWENZA MWAKA 2015 ATAISAIDIA ZAIDI CDM KULIKO KUSABABISHA MGAWANYIKO MKUBWA WENYE DALILI YA KUTOKEA KWANI hata hoja inayomuhusu yeye ama Dr.S mara nyingi usababisha mtafaruku wauchangiaji.

TUJENGE NA WALA TUSIBOMOE.
 
Umewahi kumsikia
akisema neno wakati Chadema kinapata mtikisiko? Mawasiliano yake na
Denis Msaky wa gazeti la Mwananchi ambaye sasa yuko kwenye sakata hili
la Lwakatare kila mwenye akili utajihoji maswali mengi na siyo kumpamba
kama anavyofanya mleta mada au pengine inawezekana mleta mada anamsifia
kwa mitikisiko inayotokea Chadema.

Haihitaj jicho la tatu kuona n jins gan zto hayuko mctar mmoja na makamanda wenzake, hasa ukiangalia mambo meng chama kinakabiliwa nayo lakn yuko kmya
 
Haihitaj jicho la tatu kuona n jins gan zto hayuko mctar mmoja na makamanda wenzake, hasa ukiangalia mambo meng chama kinakabiliwa nayo lakn yuko kmya

Mkuu unataka aongee nini kama matamko yanatolewa bila kuhusishwa na namba yake ya simu inaonekana unadhani hata kama ingekuwa wewe ndio kiongozi zitto utafanyaje?
>Huku kuna taarifa za yeye kuuwawa na attempt nyingine kwa bi mkubwa wake za kumuua zinajirudia unadhani atakuwa confotable kuhudhuria mishemishe za chama kama m4c ambazo anytime anaweza kushutiwa na kuuwawa?
Muoneeni huruma zito naye ni binadamu anautashi wake na mawazo yake ambayo always wabaya wake hampendi kuyasikia, zitto ana marafiki zake wengine Ccm na wengine cdm msimfanye achague wa kuongea naye eti kwakuwa wanaitikadi tofauti za chama.
Zitto hawezi kufuata kila lisemwalo na wakuu wa cdm wenzake sababu kuna mambo hayana maana ila unakuta chama kinashikilia.
LEMA ANASEMA "TUMEMPA ZITTO KAMBA AJINYONGE MWENYEWE" sasa fikiria kauli kama hii hnaleta picha gani.
 
Ni vigumu kwa uongozi kukubali lakini Zito ndio jembe la chama...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom