Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza.
Na bado magamba mtahaha sana kupiga madebe...
Sio tu katika kumpigia debe, bali ni jitihada mahususi za kutaka kutengeneza minyukano ya kugombea uongozi ndani ya CDM. Zidhani kama watafanikiwa, watanzania sio wajinga tena.
Pili Tangu issue ya Lwakatare ijitokeze, inaenda sambamba na uyu jamaa kuonyesha Zito ni kiongozi bora (huu ni uzi wa pili ndani ya wiki moja wa kumtangaza zito positive). Nahisi ni preemptive strategy za kumlinda...twendeni taratibu mengi yatajulikana.