Zitto ni kiongozi shupavu

Zitto ni kiongozi shupavu

Status
Not open for further replies.
Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza.
Na bado magamba mtahaha sana kupiga madebe...

Sio tu katika kumpigia debe, bali ni jitihada mahususi za kutaka kutengeneza minyukano ya kugombea uongozi ndani ya CDM. Zidhani kama watafanikiwa, watanzania sio wajinga tena.

Pili Tangu issue ya Lwakatare ijitokeze, inaenda sambamba na uyu jamaa kuonyesha Zito ni kiongozi bora (huu ni uzi wa pili ndani ya wiki moja wa kumtangaza zito positive). Nahisi ni preemptive strategy za kumlinda...twendeni taratibu mengi yatajulikana.
 
mkuu umeongea point zzk ni mtu makini sana baadhi ya watu hawataki kuamini namkubali sana mtu huyu endapo akipata nafasi kugombalia 2015 basi chadema watapata kura yangu tofauti na hapo imekula kwao nakumbuka ufanisi wake wa uchapa kazi ulinivutia mimi kumfata dodoma bungeni kuona live ufanisi wake.naamini siku moja atakuwa rais wa nchi ni mtu makini sana much blesed to zzk





ttino.jpg
 
Sio tu katika kumpigia debe, bali ni jitihada mahususi za kutaka kutengeneza minyukano ya kugombea uongozi ndani ya CDM. Zidhani kama watafanikiwa, watanzania sio wajinga tena.

Pili Tangu issue ya Lwakatare ijitokeze, inaenda sambamba na uyu jamaa kuonyesha Zito ni kiongozi bora (huu ni uzi wa pili ndani ya wiki moja wa kumtangaza zito positive). Nahisi ni preemptive strategy za kumlinda...twendeni taratibu mengi yatajulikana.

Umewahi kumsikia akisema neno wakati Chadema kinapata mtikisiko? Mawasiliano yake na Denis Msaky wa gazeti la Mwananchi ambaye sasa yuko kwenye sakata hili la Lwakatare kila mwenye akili utajihoji maswali mengi na siyo kumpamba kama anavyofanya mleta mada au pengine inawezekana mleta mada anamsifia kwa mitikisiko inayotokea Chadema.
 
Nimefanya utafiti wa kina nimegundua kuwa Zito ndio jembe pekee linaloweza kupata kura ya urais kama akigombea kwani baada ya sakata lililopo la lwakatare Jina la Dr limeanza kufifia kwa kasi kwani muda si mrefu Ludo ataanza kutoa siri.
Wanachama wengi wa mikoani wanamkubali sana zito kuliko Slaa ambaye anaonekana kukubalika maeneo ya njiro na karatu tu. juzi niliongea na vijana wenzangu pale unga ltd na wengi walionekana kumsifia sana ZZK
Wewe sasa umetoa siri lengo kuu la Mhe ZZK NI KUJIKWEZA ETI AWE MAARUFU KULIKO Dr Slaa na Mhe Mbowe!! Kapandikiza wakina Shonza na masalia, kachomeka mambo kibao ndani ya CHEDEMA na marafiki zake kina Jack Zoka TISS!!! Sasa wakati huu baada ya kusuka huu mpango wa kumchafua Dr Slaa kupitia shutuma za kupika za TISS NA WADAU wake anaona alete hapa apime upepo watu wana respond vipi??? Ukiangalia post za watoa mada na wachomekeaji wote ni wapya, kwa hiyo ameunda new team baada ya masalia kukaa kando au wamekuja na ID mpya!!! ZZK anahangaika saana, matokeo yake anadhoofisha chama chetu, badala ya kusonga mbele kwenye ukombozi tubaki tukilumbana na next Prezoo, poor ZITO!!!!

 
Nimefanya utafiti wa
kina nimegundua kuwa Zito ndio jembe pekee linaloweza kupata kura ya
urais kama akigombea kwani baada ya sakata lililopo la lwakatare Jina
la Dr limeanza kufifia kwa kasi kwani muda si mrefu Ludo ataanza kutoa
siri.
Wanachama wengi wa mikoani wanamkubali sana zito kuliko Slaa ambaye
anaonekana kukubalika maeneo ya njiro na karatu tu. juzi niliongea na
vijana wenzangu pale unga ltd na wengi walionekana kumsifia sana
ZZK

Utafiti wa REDET na Synovate hautawasaidia. Umetembelea mikoa mingapi? Muulizeni huyo jamaa mnayempigia debe kwanini baada ya Kikao cha Kamati Kuu Januari alikimbilia Kigoma? Msijipe matumaini hewa
 
Wewe sasa umetoa siri lengo
kuu la Mhe ZZK NI KUJIKWEZA ETI AWE MAARUFU KULIKO Dr Slaa na Mhe
Mbowe!! Kapandikiza wakina Shonza na masalia, kachomeka mambo kibao
ndani ya CHEDEMA na marafiki zake kina Jack Zoka TISS!!! Sasa wakati huu
baada ya kusuka huu mpango wa kumchafua Dr Slaa kupitia shutuma za
kupika za TISS NA WADAU wake anaona alete hapa apime upepo watu wana
respond vipi??? Ukiangalia post za watoa mada na wachomekeaji
wote ni wapya, kwa hiyo ameunda new team
baada ya masalia kukaa kando au wamekuja na ID mpya!!! ZZK anahangaika
saana, matokeo yake anadhoofisha chama chetu, badala ya kusonga mbele
kwenye ukombozi tubaki tukilumbana na next Prezoo, poor ZITO!!!!


Hata wakija na ID mpya 100 sisi ni wale wale tutawadhibiti mpaka mwisho.
 
Utafiti wa REDET na Synovate hautawasaidia. Umetembelea mikoa mingapi? Muulizeni huyo jamaa mnayempigia debe kwanini baada ya Kikao cha Kamati Kuu Januari alikimbilia Kigoma? Msijipe matumaini hewa
Zitto hakubaliki ndani ya vikao vya chama tu (japo si kwawajumbe wote) lakini nje ya vikao hivyo Zitto ni zaidi ya chama chenyewe
 
Umewahi kumsikia akisema neno wakati Chadema kinapata mtikisiko? Mawasiliano yake na Denis Msaky wa gazeti la Mwananchi ambaye sasa yuko kwenye sakata hili la Lwakatare kila mwenye akili utajihoji maswali mengi na siyo kumpamba kama anavyofanya mleta mada au pengine inawezekana mleta mada anamsifia kwa mitikisiko inayotokea Chadema.


Historia inaonyesha kua Rwakatare siyo rafiki wa waandishi wa habari, nakumbuka 2005 alifikishwa mahakani kwa kosa la kumpiga mwaandishi wa habari wa ITV/Radio one.
 
Zitto hakubaliki ndani ya vikao vya chama tu (japo si kwawajumbe wote) lakini nje ya vikao hivyo Zitto ni zaidi ya chama chenyewe
Hapa JF pia hakubaliki, nako kuna vikao vya chama? Umbali kwenu ni pale zinapoishia pua zenu?
 
Ndugu zitto kaonesha hekima kubwa sana katika siasa za Tz, ametumia hekima ya kipekee katika mambo yanayomuhusu,
  • yalianza ya kuhisishwa na rushwa hakupaniki akasema uchunguzi ufanyike kumbe hakukuna na uhalisia wa aliyetoa kauli,
  • yakaja mengine ya kutaka kuwekewa sumu na wezake ktk chama akali handle suala hilo kwa hekima kubwa bila ya kujiharibia chochote ,mwisho unaoneka hakuna ukweli au uhakika wa mambo yale.
  • Kubwa na lilinoshangaza ni hili la juzi la mama yake kuvamiwa na kukiri kuwa mmoja wa majambazi hao ni kada wa chadema.Naamini kabisa mwanasiasa mwingine siku hiyo hiyo angerudisha kadi kwani zitto anauwezo wa kuunguruma chama chochote mfano nccr,cuf huko hata urais anaweza pewa agombee bila kupingwa hata ccm anaweza kupewa nafsi kubwa tu LAKINI MUHESHIMIWA ALITAMBUA YAFUATAYO:-

  1. KUNA MAKADA MANGAPI WA CDM KWANZIA MTAA,KATA,WILAYA MPAKA TAIFA?
  2. KWANI MTU KUWA CDM NDIO KAWA MALAIKA ASIRUBUNIWE?
  3. KWANI HAWEZI KUWA KATUMWA NA VYAMA VINGINE KUHARIBU CHAMA?
  4. KATUMWA NA NANI ?JE KATUMWA NA CDM ETI KWA KUWA YEYE NI CDM?.
Baada ya kuweka into consideration yote hayo akatoa kauli kuwa suala lile liko polisi, na ukweli wa yote utajulikana na hatua stahiki zitachukuliwa HIZO NDIO HEKIMA ZA WENYE UWEZO WA KUONGOZA NCHI. sio kupelekwa pelekwa na upepo.
NI MFANO WA KUIGWA.
 
Vijana wa Chadema mnatumika bila kujua kuleta migongano ya viongozi! Unaweza kukuta mwanzisha mada ni Nape kaingia kwa ID bandia anaanzisha mada ambayo anajua kama kawaida ya vijana wa Chadema wataishia kunyukana!
Anzeni kujifunza ku ignore viji thread kama hivi!
 
mkuu whitebl uko sahihi kabisa, wengine tupo na zitto kwenye chama muda mrefu sana, huyu jamaa ni hatari sana, kwnn akisifiwa sana anapoteza mwelekeo kabisa hivyo akipata nafasi kama ya urais wapambe wanaweza kumsifia kwa maslahin yao na akasitukia anauza nchi. anahitaji mtu makini wa kumsimamia ndio anaweza kufanya kazi vizuri.
 
CHADEMA ingekuwa salama sana bila Zitto. Haya yote ya akina Rwakatare source ni Zitto na tamaa zake. Akina shonza na Mwampamba wanahangaika na kulialia jamvini sababu ni Zitto na tamaa zake. Mara kalishwa sumu Bagamaoyo, mara wamelegeza tairi apate ajali. who is he by the way? anajifanya yeye nimaarufu sana, akilazwa hata kwa malaria anawaita Mwananchi wampige picha wamtoe gazetini. Zitto ana MANIC disoder, anapenda sana kuforce attention. Umaarufu mzuri ni ule unaopata naturally sio wa kununua waandishi na kutengeneza mitandao na ushirikina.

shule zetu za kata hizi; hapo ndo mwisho wako wa kufikiri?
 
ndugu yangu Mwalimu Mzalendo si kila mwandishi wa habari ni mzuri, watu kama akina msacky utaniambia ni mzuri, labda ataonekana mzuri kwasbbu kapewa kazi ya kuvuruga cdm.
 
ndugu yangu KAKADO chadema haihitaji kura chafu ya kwako nenda kampigie zitto jimboni kwake.
 
Kama utakuwa uko huru kifikra wala sio ushabiki utaona mheshimiwa ZITO ni kiongozi makini, kwann nasema ivyo? Yeye ndo chachu ya ukombozi, tazama aliingia bungeni akiwa kijana mdogo lakin mzee wa mvi kwa hoja, tazama michango yake bungeni, tazam hoja binafsi anazopeleka bungeni bila shaka kuna watu hawana shukrani.

Mimi ZITO hanijui wala simjui zaidi ya hoja zake msimamo kijiamini.Watu wanaweza kumsema vibaya kwa kuwa hawapendi ukweli wanafata majina makubwa ya chama ambapo wasingependa uhoji hoja zao.

You have to accept anything they say and don challenge. Wapo watu hawaangallii historia ZITO ndio amewa-inspire vijana wengi kupenda siasa.

Ningependa Zitto awe rais wangu wa 5 kwasababu ana uwezo,anajiamini na ana rekodi nzuri.Hakubali kuburuzwa pale haki inapopindishwa.

Ila najua vikwazoni vingi nawaona madikteta wa hoja,mashabiki wa watu badala ya sera ha hoja za mtu.

Namuombea kwa Mungu amlinde na kila mwenye nia mbaya na mkombozi huyu wa Taifa la Tanzania.

MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI AFRIKA


Picha ya ndugu Zitto ikiwepo kwenye karatasi ya uchaguzi wa Rais 2015 ( Presidaa au Vice kama Ruto),,,Chadema wanachukua nchi kiulaini kabisa:

Zitto ndiyo King au Kingmaker uchaguzi 2015:!!You can take this to the bank!!
 
uko sahihi kabisa Chintu, kuna watu huyu zitto hawamjui kiundani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom