Songoro
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 4,122
- 1,022
Basi akagombee chama kingine lakini sio chadema. Lazima chama kiwe na malengo. dr.Slaa alishapiga jaramba 2010 kilichobaki ni kuingia uwanjani(ikulu). Zitto bado anao mda wa kujipanga na umri unaruhusu. hatutaki kupoteza nguvu kazi kama Slaa ipotee hivihivi. Inabidi dr.Slaa atoe mchango wake kwa taifa lake nasi tumfaidi.
si muwapambanishe kwenye kura za Maoni? Au mnaogopa matokeo ya kura za maoni au mdahalo kati ya Slaa na Zitto? Kama nyie ni wanademokrasi mngeruhusu watu wajitokeze then ipigwe kura ya maoni tujiridhishe kuwa kweli mgombea wenu ni chaguo la wanachama sio kujifungia chumban mnaibuka na jina la mgombea,kura ya maoni ndo inatumika Dunia nzima nyie mnaogopa nini kama mgombea wenu ni chaguo lenu?