DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Na mimihamtampa kura wala hamtampitisha wewe na nani.?
Na mimihamtampa kura wala hamtampitisha wewe na nani.?
Kikwete alikuja kwa sera ya kwamba tumchague yeye ni kijana kwani ametufanyia nn cha maana?Hatutaki wazee sisi, na mkimuweka Slaa mjue mmeisha shindwa tayari. Msitake kule mambo ya Senegal hapa
Kwanini awe mwoga while yupo ule upande wa "wenye nchi" na hata hoja zake ni za kujipendekeza? Watamfahamuje bila kuweka jina lake halisi!Hapa kwenye RED umemlenga MM mwanakijiji!!?? kama kutumia jina lako ndio sio uwoga basi una tatizo la ufikiri. hivi unadhani watu wapo hapa kuuza sura!!??......
Thibitisha maneno yako kwamba nina kisirani na mbowe.Wengine sitawasemea.Acha majungu kama huna hoja ya maana ni bora tu unyamaze.Ben,
Huo mtandao wenu na akina Zitto utapeleka nchi pabaya.Nilishawahi kutaadharisha hapa kama mbowe atawania uenyekiti wa chama au urais atarajie kudhalilishwa na hawa vijana.
Hii makala nimeona mahali Zitto anasema atachukua maamuzi yatakayochukiwa na mabwana wakubwa wa magahribi. Ninachojiuliza hivi ben na akina Zitto mmeunganishwa kwa mrengo wenu wa kushoto au kumpinga na kumdhalilisha mbowe? Sijawahi kujua Zitto nae ni leftist basi naona huko mbele chadema ina kazi kuliko CCM. Zitto naona nae ameanza kuwa na chuki na wazungu kama ulivyo ila nilishamshauri Mbowe awe makini na hili kundi naona limebadili uelekeo na linavuta vijana wasomi kwa kasi.
Ben saanane na wenzako ni wasalaiti wa chadema, kisirani chenu na Mbowe kitawafanya mtoane roho sasa
Ninyi ni waroho wa madaraka pamoja na uwezo wenu mkubwa wa kujenga hoja ila mnautumia kuwahadaa watanzania...wasaliti wakubwa.mmedhamiria kumdhalilisha mbowe na kumpindua.Uchaguzi wa BAVICHA uliopita uliona kundi lako lilivyodhibitiwa kwa mara ya tatu
Yap nimesoma[BOFYA -UDADISI].
Hakika CDM ndio kumekucha kama michezo yenyewe ndio hii,vijana wana miaka 35 wanawaza Urais hakika, tumepotea sana tena sana ukizingatia chama ambacho tuliamini kingepigania dhamila ya ukombozi wa Mtanzania,bali vijana wadogo baada ya kujituma kuprove wanaweza kumbe kwenye masaburi yao wanawaza kuwa Marais 2015.Mama Tanzania tusaidie wendawazimu huu wa mawazo mfu kwa sasa ufe hata kabla ya kuanza.
Nakumbuka kuna watu walionwa vijana ndani ya CCM,wakapewa kwa vigezo hivyo vya ujana lakini leo,imekuwa wazi kumbe kundi lile liloonekana ni vijana,walio kuwa na akili ni wachache waliosalia ni makapi tu, tena wamepewa wakiwa na umri wa miaka 55 sembuse miaka 35 upuuzi wa kuzungumzika tena aibu sana
Nilisha hisi [sense] ujio wa jambo ili,ila CDM ndio wakikosa umakini na kudela na watu ovyo wenye akili ovyo wasio fikilia kwa logic na kuamua kwa kutumia Analytical way basi wakiachiwa waendelee ndani ya CDM,hakika KIFO cha CUF kitakuwa na heshima maradufu zaidi ya CDM.
Nilimshauri zitto kwenye makara moja nikamwambia muda wa yeye kuwaza urais sasa ni aibu kwake aachane nao awaze kujenga na kusimama miaka ishirini ijayo kwa maana kwa sasa ndani ya miaka 35 + miaka ishirini [20] ijayo basi miaka 55 ni best Material President ever kwa kuwa ameiva kwa lolote lile.
Kama kuna watu wazima wanamwambia kuwa anaweza kuwa President na wanamwambia watampa support hakika kuna agneda ya siri,moja kuua upinzani Nchini yani kifo ambacho mwalimu alikihita Natural death, ama kuna watu wanatengeneza conflict of interest ili maeneo yao yawe laini kwa vitu vyao upande mwingine kupita huku CDM ikiwa kwenye kutoana meno,au kuna mtu anataka green pasture upande fulani hivyo anatafuta gear ya kuchomoka kwenda upande wa PIli kutimiza ndoto yake.
Nimetoka kusoma thread ya CDM wanamaongezi na EL,nimekutna na hii,nimeunga DOT,kama kweli CDM hakitaki natural dealth baada ya uchaguzi wa arumelu ni vyema wajipange kutoa jawabu la uozo huu wa kuondoa watu ambao spirtually awako pamoja na CDM kwa faida ya TAIFA.Waswahili tunasema ni heri ya nusu shali kuliko shali kamili,sio kuwa watanzania hawaoni na hawezi kuunganisha DOT.
Tatizo la wanasiasa wetu sometimes uwa wanafikilia kuwa wao ni Intelligent and smart kuliko raia huku mitaani kumbe wanasiasa wengine ni remote controlled na raia huku huku mitaani.Sikutegemea speech hiyo ya UDADISI kutoka kwa Zitto,kwa kuwa moja ya vitu ambavyo Zitto alipaswa kuwa navyo ni kuepuka mijadala au forum zozote zinazoonyesha kuchokonoa juu ya ufahamu wake kuhusiana na swala la urais akiwa kama Mwanasiasa kijana.
Tena ukitaka kujua Zitto ni mtoto hata blog iliyotoa taarifa yake iko accurate na dhamira ile ile ya watu intellictual kujua ana dhamira gani je,ni kijana anaefikilia kuhusu kufikilia au ndio wale wasio na chochote bali siasa za popularity.Pole Zitto kama kweli hiyo udadisi ni maneno yako UMEMALIZWA KIJANA, they used you pia watakudump.
KAMA KWELI NIMANENO YAKO ULIKUWA KIJANA SANA KUSHNDWA SIASA ZA TANZANIA KATIKA UMRI MCHANGA WA CHINI YA MIAKA 35.
Baba mchungaji Mzito nakubaliana na wewe kabisa kuwa Zitto amekuwa affected na 'mahaba' ya urafiki sio na JK bali hata na vigogo wengine wa ccm. Na hili limefanya watu waanze kuhoji dhamira na hata loyalty yake iko upande gani.
Zitto nakuona uko online, kwa moyo safi kabisa na kwa nia njema nataka nikuleze kuwa you are young fine politician with great potential lakini unatakiwa sasa uamue na kila mtanzania including wana-CHADEMA wenzake wasihoji dhamira yako. Kwenye vita kila askari ananatakiwa aamue you are either with your fellow comrades or against them, lakini huwezi kuwa 'indifferent' - huwezi kuwa hapo katikati. Huwezi kuwa vuguvugu. Nitaeleza:
1. Wakati rais Kikwete anahutubia bunge kwa mara ya kwanza baada ya uchaguzi wa 2010, wabunge wa CHADEMA walitoka nje kwa kile walichodai kuwa hawakukubaliana na 'mchakato' uliotumika kumpata rais. Wewe Zitto sio tu hukuingia bungeni siku hiyo bali ulikimbilia kwenye vyombo vya habari na kutoa kauli za (a)kupingana na hatua ya wenzako na (b) kueleza umma mambo yaliyozungumzwa ndani ya kika cha CHADEMA - hiki kilikuwa ni kikao cha ndani.
Wako wabunge wengine wa CHADEMA ambao hawakuafikia hatua ya kutoka nje na kura ilipigwa ili kupata a way forward lakini wewe ulienda zaidi kwa kuonesha utoafauti wako mbele ya vyombo vya habari. Hapa uko na comrades wenzako au uko against them?
2. Siasa za vyama vingi sio uadui. Sasa nilitaka tu kuhoji inakuwaje unaonekana kuwa karibu ki-mkakati na wanasiasa wa chama unachopingana nacho CCM kuliko CHADEMA? Huu ukaribu wako na January Makamba ni kwa sababu wabunge wote wa CHADEMA ni wazee? au hawaelewi kitu? Au you just dont like them? Kauli kwamba unafanya jambo fulani 'bila kujali itikadi za vyama' does not holder water. You are either with your fellow comrades or against them. Hata kama wewe unadhani una uelewa mkubwa kuliko watu fulani fulani ndani ya chama chako unalo jukumu la kuwasaidia ili wafike mahala unapoamini ni pa zuri. Wewe ulianza kidogo kidogo na sasa umepiga hatua nzuri. Uko CHADEMA, do your things with your fellow CHADEMAs. Hawa wengine mnaweza kukutana Rose Garden or elsewhere.
Kwa kifupi niseme unaonekana kujitenga sana na wenzako na ndio maana mara nyingi nimekuwa nasema nampenda zaidi Zitto wa 2007 kuliko huyu wa sasa. Umejiweka kwenye mazingira ambayo unapogombea nafasi ya juu kwenye chama chako watu wanauliza nia na dhamira yako. Hili sio jambo jema kisiasa.
Ndio tatizo lenu watu wa kaskazini mnalazimisha Slaa 2015 agombee urais ili hali atakuwa mzee na hatufai tena. Na isitoshe mzee hana jipya kwa sasa, awaachie vijana wakina Zitto. Kuhusu umri katiba ijayo tunalirekebisha hilo na Zitto ambae ni chaguo la CDM wengi ata qualify.
Zitto ni kigeugeu, anapenda kuponda wenzie, na anauwezo wa kusaliti wowote ulenimesoma makala vizuri, kuna mengi mheshimiwa ameyaandika, hili la kuzungumza jinzi akina J J Mnyika na Mdee kwenye chadema, ina lengo la kuwajenga ? au ndio kuwabomoa. watu waone kuwa kumbe ni watu walioingia chadema kwa kusit sita, kwa hio ni maopportunist. mheshimiwa sidhani kama ni sawa kuandika kila kitu kama ulivyofanya, kufanya hivi ni kuwapa nafasi maadui zenu kukumalizeni. pili punguza sana kujisifu, fanya kazi na umma utaaamua wakati ukifika nnakushauri kama mmoja alivyokushauri hii mada achana nayo. fanya kazi ukileta mchezo itakugharibia na kukutengenezea maadui wengi zaidi
Nimekuelewa vyema mkuu, hii fomular inaitwa jipendekeze ili upendekezwe, ndio maana sikushangaa Richard Kasesera kusikia ameteuliwa kwenye ulaji wa bodi ya madini.Kwanini awe mwoga while yupo ule upande wa "wenye nchi" na hata hoja zake ni za kujipendekeza? Watamfahamuje bila kuweka jina lake halisi!
Hello Zitto,Ndugu zangu. Naomba msome makala nzima kabla ya kuchangia. Msichangie kwa kusoma kichwa cha habari tu. Hii ni makala nimeandika kama majibu kwa makala ya mwanazuoni mmoja kuhusu umri wa Urais.
Nimesema wazi, kuutaka Urais na kuupata ni mambo mawili tofauti. Kwanza lazima chama changu kiniteue. Kama chama kikiona bado lazima nikubaliane na chama. Kama chama kikiona kuna mwanachama mwingine ana uwezo zaidi yangu lazima nimwunge mkono huyo. Hata kama chama kikiniteua lakini wananchi lazima wakubali. Kwa hiyo unaweza kuutaka Urais lakini usiupate!
Pili nimejibu hoja za ubaguzi, hatari na matabaka za mwanazuoni huyo. Ni vizuri MoD akachukua makala hiyo na kuiweka juu kabisa ili watu wachangie jambo walilolisoma.
Miye nitaweka makala hiyo kwenye blog yangu zittokabwe.com
Thibitisha maneno yako kwamba nina kisirani na mbowe.Wengine sitawasemea.Acha majungu kama huna hoja ya maana ni bora tu unyamaze.
Thibitisha ni wapi nilipokisaliti chama changu.Kwa hayo majungu yenu hamtaniweza hata kidogo na mnalielewa hilo ila ni kiwewe tu kinawasumbua
Ndiyo msimamo wangu dhidi ya uovu,ukandamizaji dhidi ya taifa langu na watu wangu siwezi kuuvumilia na siwezi kuogopa kupambana nao.
Kilichotuunganisha na Zitto ni msimamo dhidi ya uonevu,ukandamizaji,dhuluma bila kujali ni nani anayeonea au ninani anayedhulumiwa.Kilichotuunganisha ni msimamo juu ya utekelezaji wa demokrasia ya kweli na kutoa maono ya kule tunakotaka taifa letu lielekee.
Kuhusu kuwa chadema huko mbele itakuwa na kazi kuliko CCM ni matamanio yako tu.CHADEMA itaendelea kusimama na utaona tutakavyoingia uchaguzi mkuu tukiwa na nguvu mpya.
Kwa kuzingatia muafaka na mchakato ndani ya chama changu,kama Zitto ataamua kugombea nitamuunga mkono kwa kuwa nakubaliana na msimamo na dira yake kuhusu kule tunakotakiwa kwenda as a nation.
Kama tafsiri ya kupigania interest za Tanzania kwa kuchukua maamuzi magumu ni chuki kwa wazungu basi nakubali.But you obvisoulsy havent got your own mindset right thats why you are so quick to condemn a man who has refused to be bullied, intimidated and bamboozled by selfish racist imperialist powers.
kitakachokata mzizi wa fitina ni Zitto kuchapa kazi kwa bidii na wale wenye mtizamo unaofanana ijulikane kuwa there is no excuse zaidi ya kuchapa kazi kwa bidii,determination and objectivity.
Wengine jengeni majungu tu,this is what you are good at !Besides, please don't let your anger cloud this debate because I don't want this to disintegrate into meaninless tat for tat.
Baba mchungaji Mzito nakubaliana na wewe kabisa kuwa Zitto amekuwa affected na 'mahaba' ya urafiki sio na JK bali hata na vigogo wengine wa ccm. Na hili limefanya watu waanze kuhoji dhamira na hata loyalty yake iko upande gani.
2. Siasa za vyama vingi sio uadui. Sasa nilitaka tu kuhoji inakuwaje unaonekana kuwa karibu ki-mkakati na wanasiasa wa chama unachopingana nacho CCM kuliko CHADEMA? Huu ukaribu wako na January Makamba ni kwa sababu wabunge wote wa CHADEMA ni wazee? au hawaelewi kitu? Au you just dont like them? Kauli kwamba unafanya jambo fulani 'bila kujali itikadi za vyama' does not holder water. You are either with your fellow comrades or against them. Hata kama wewe unadhani una uelewa mkubwa kuliko watu fulani fulani ndani ya chama chako unalo jukumu la kuwasaidia ili wafike mahala unapoamini ni pa zuri. Wewe ulianza kidogo kidogo na sasa umepiga hatua nzuri. Uko CHADEMA, do your things with your fellow CHADEMAs. Hawa wengine mnaweza kukutana Rose Garden or elsewhere.
Kwa kifupi niseme unaonekana kujitenga sana na wenzako na ndio maana mara nyingi nimekuwa nasema nampenda zaidi Zitto wa 2007 kuliko huyu wa sasa. Umejiweka kwenye mazingira ambayo unapogombea nafasi ya juu kwenye chama chako watu wanauliza nia na dhamira yako. Hili sio jambo jema kisiasa.