Yap nimesoma
[BOFYA -UDADISI].
Hakika CDM ndio kumekucha kama michezo yenyewe ndio hii,vijana wana miaka -35 wanawaza Urais hakika, tumepotea sana tena sana ukizingatia chama ambacho tuliamini kingepigania dhamira ya ukombozi wa Mtanzania,bali vijana wadogo baada ya kujituma kuprove wanaweza kumbe kwenye masaburi yao wanawaza kuwa Marais 2015.Mama Tanzania tusaidie wendawazimu huu wa mawazo mfu kwa sasa ufe hata kabla ya kuanza.
Nakumbuka kuna watu walionwa vijana ndani ya CCM,wakapewa kwa vigezo hivyo vya ujana lakini leo,imekuwa wazi kumbe kundi lile liloonekana ni vijana,walio kuwa na akili ni wachache waliosalia ni makapi tu, tena wamepewa wakiwa na umri wa miaka 55 sembuse miaka 35 upuuzi wa kuzungumzika tena aibu sana
Nilisha hisi [sense] ujio wa jambo ili,ila CDM ndio wakikosa umakini na kudeaL na watu ovyo wenye akili ovyo wasio fikilia kwa logic na kuamua kwa kutumia Analytical way basi wakiachiwa waendelee ndani ya CDM,hakika KIFO cha CUF kitakuwa na heshima maradufu zaidi ya CDM.
Nilimshauri zitto kwenye thread moja nikamwambia muda wa yeye kuwaza urais sasa ni aibu kwake aachane nao awaze kujenga na kusimama miaka ishirini ijayo kwa maana kwa sasa ndani ya miaka 35 + miaka ishirini [20] ijayo basi miaka 55 ni best Material President ever kwa kuwa ameiva kwa lolote lile.
Kama kuna watu wazima wanamwambia kuwa anaweza kuwa President na wanamwambia watampa support hakika they played him na kuna agenda ya siri,moja kuua upinzani Nchini yani kifo ambacho mwalimu alikihita Natural death, ama kuna watu wanatengeneza conflict of interest ili maeneo yao yawe laini kwa vitu vyao upande mwingine kupita huku CDM ikiwa kwenye kutoana meno,au yeye anataka green pasture upande fulani hivyo anatafuta gear ya kuchomoka kwenda upande wa PIli kutimiza ndoto yake.
Nimetoka kusoma thread ya CDM wanamaongezi na EL na ndio maana wameacha kampeni za ufisadi wakamuachia Nape na wao waanzilishi wamekula kona,nimekutana na hii,nimeunga DOT,kama kweli CDM hakitaki natural dealth baada ya uchaguzi wa Arumeru ni vyema wajipange kutoa jawabu la uozo huu wa kuondoa watu ambao spirtually awako pamoja na CDM kwa faida ya TAIFA. Waswahili tunasema ni heri ya nusu shali kuliko shali kamili,sio kuwa watanzania hawaoni na hawezi kuunganisha DOT,watanzania wanaona na wanasiakia ubaya siku hizi nao wanakuadhibu huku wanacheka kama ilivyo tabia ya Rais wao.
Tatizo la wanasiasa wetu sometimes uwa wanafikilia kuwa wao ni Intelligent and smart kuliko raia huku mitaani kumbe wanasiasa wengine ni remote controlled na raia huku huku mitaani.Sikutegemea speech hiyo ya UDADISI kutoka kwa Zitto,kwa kuwa moja ya vitu ambavyo Zitto alipaswa kuwa navyo ni kuepuka mijadala au forum zozote zinazoonyesha kuchokonoa juu ya ufahamu wake kuhusiana na swala la urais akiwa kama Mwanasiasa kijana.
Tena ukitaka kujua Zitto ni mtoto hata blog iliyotoa taarifa yake iko accurate na dhamira ile ile ya watu intellictual kujua ana dhamira gani je,ni kijana anaefikilia kuhusu kufikilia au ndio wale wasio na chochote bali siasa za popularity.Pole Zitto kama kweli hiyo udadisi ni maneno yako UMEMALIZWA KIJANA, they used you pia watakudump.Vinginevyo awemo katika kutuchezea kujua watanzania wanamuonaje yeye,lakini ubaya wa mchezo huu,unamaliza yeye,wakati mwingine kama ni mdau wa watu aina ya THINK BIG asipende tabia ya kucheza michezo ya kupima Political Atmosphere wakati anajua kuwa si wakati sahihi,kwa kuwa yeye kuwa ni centre of the topic in town inamshushia heshima kwa watu makini kimfumo kumuona kama ni mtu asie tofauti na wema sepetu, tofauti yake na wema ni kuwa wakati wema yuko kwenye front page tasinia ya urembo na filamu,yeye yuko front page kwenye political arena.
Kwa kuwa great thinkers they want to put people bussy kwenye mazungumzo siasa na michezo na sanaa basi uchagua watu ambao ni POPULAR na ndio maana kwa wanasiasa ukionekana kuwa wewe ni centre of attention wanasema unatafuta Cheap Popularity,ok kama ni Mzee wa kuuza sura cool your the best candidate lakini kama ni mtu makini wakujua genuine life ya Mtanzania na kuwa unaumizwa kutafuta majibu ya matatizo yao basi usingekuwa tayari kuusogela urais,watu ndio wanakusukuma kukupa urais,sio unajipigia debe uonekane unafaha kuwa Rais.
KAMA KWELI NIMANENO YAKO ULIKUWA KIJANA SANA KUSHNDWA SIASA ZA TANZANIA KATIKA UMRI MCHANGA WA CHINI YA MIAKA 35.