Mkuu Feedback naoma tafiti kwanini CUF leo ipo hapo ilipo.................Mwakalinga na Matola, nafikiri sasa mmeanza kuelewa kitu ambacho wengine tulikiona tangu zamani. Kadri muda unavyokwenda ndivyo mambo yanavyozidi kuwa wazi zaidi.
Kila kitu kipo wazi,unataka majibu gani tena ? scratch ur brain to cope with Great Thinker like me
Bado hujajibu swali nililokuuuliza.
Tabia ya kuhepa hoja mmeambukizwa na Mkapa.
Jibu hayo maswali kama mleta thread.
Dr.SLAA kachanganyikiwa coz anaomba dua baya kwa ZITTO atimuliwe haraka sana...subiri wapoteze Arumeru ili wamjeruhi ZITTO kama walivyofanya CUF na NCCR.
Mwakalinga na Matola, nafikiri sasa mmeanza kuelewa kitu ambacho wengine tulikiona tangu zamani. Kadri muda unavyokwenda ndivyo mambo yanavyozidi kuwa wazi zaidi.
Jibu maswali niliyokuuliza.enga hoja,hayo majina unayoniita ungeweza kuyaepuka kama kweli unataka kutendewa haki na kama kweli wewe ni mwanasaikolojia kama unavyotaka kutuaminisha hapa.Usidhani kwamba hatuna uwezo wa kufanya siasa za mipasho.Naweza hizo siasa but i wont go too low.....Hata kama nilikuwa sijui kusoma sasa nimeletewa picha ili nione.......Kuna mahala nimewaomba wenye notebook na wandike maneno haya, halitokuwa jambo la kushangaza ukisikia Zitto Kabwe ameangushwa Ubunge na mgombea wa CCM uchaguzi wa 2015, inashangaza sana mtu ambaye hata Ubunge wa jimboni kwake ameshinda kwa mbinde kwa simple majority anakuja na ndoto za Urais in wrong timing!! interesting.
Mkuu Feedback naoma tafiti kwanini CUF leo ipo hapo ilipo.................
Hakuna kitu kibaya kwenye uongozi wa siasa kama KUABUDU watu fulani fulani, yaani inafikia hatua kuwa na mawazo mbadala na hawa waabudiwa unaonekana msaliti........Nakuhakikishia Feedback hao mnao waabudu mnatengeneza akina Maalim Seif na Akina Lipumba.
CCm yenye ipo hapo ilipo kwasababu hizi hizi mnazozipigania hapa, kwamba waabudiwa watakalo amua ndio hilo, no challenge to them
Mmeulizwa hebu toeni hoja za maana kosa la zito ni nini kusema anaweza kugombea kama katiba na chama kitampa fursa?
Mnaanza mara usalama wa Taifa, mara hajakomaa, yaani hamna kitu mnaongea zaidi ya chuki binafsi, hii ndio demokrasia jamani
Anachokisema winnet forever hapa chini ndio na mimi ninachokijua,Binafsi sipingi hoja ya Zitto kutaka umri wa kugombea urais ujadiliwe na hoja yake ya kutangaza nia ya kuutaka urais, wasiwasi wangu ni timming ya hoja zake. Sidhani kama kuna busara imetumika au washauri wake wamemshauri ndivyo sivyo. Nachelea kusema hata kama Zitto anautaka urais mguu alioingia nao ndio utaifanya ndoto yake isitimie, maana mjadala huu unaoendelea ndani na nje ya chama chake utamwonyesha mengi na ataona wapi alipojikwaa. Namshauri tu kama kweli ana busara azingatie mawazo ya pande zote asiangalie ya wale wanaomshangilia kwa kumwambia mfalme umevaa nguo asikilize na wanaomwambia mfalme uko uchi.
Hoja ya umri, ni kweli lakini kama suala ni vijana kwa nini iwe 35 na si 18 au 25, kwani kukomaa kwa ujana kunaanzia miaka mingapi, Na kuna utafiti wowote wa kisayansi kuwa kuanzia 35 ndio anaweza kuwa rais mzuri na si 40 ya sasa. Sipingi miaka 35 lakini lazima tujiulize what is the motive behind 35 yrs.
Hoja ya yeye kuutaka urais, nayo si mbaya lakini je huu ni muda mwafaka? kwa taifa? kwa chama chake? Generally tujiulize mtu anayetangaza kutaka kitu huwa ni wa aina gani, jasiri, ana tamaa, au? Kuna wengi tu wanadhani Lowassa anautaka urais ila mbali ya kuulizwa hajatamka wazi, je yeye si jasiri kama Zitto au yeye hana tamaa kama ya Zitto? Kwa kweli kuna maswali mengi ya kujiuliza na kumuuliza Zitto achilia mbali kuwa chama chake cha Chadema kwa sasa kiko kwenye kinyang'anyiro cha ubunge.
Zitto alikuwa anajibu nakala fulani. Nafahamu Zito anatambua CDM ni chama makini sana,na hawakurupuki kuteua wagombea wa nafasi mbali mbali. Ikiwapendeza CDM na wananchi wote atateuliwa yeye au Dk Slaa au Mbowe au mwingine awaye yote. Chapeni kazi wa-TZ acheni bla bla,
Dr.SLAA kachanganyikiwa coz anaomba dua baya kwa ZITTO atimuliwe haraka sana...subiri wapoteze Arumeru ili wamjeruhi ZITTO kama walivyofanya CUF na NCCR.
Hivi yule kiongozi wa Korea Kaskazini ana umri gani vile...??