nice 2
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 747
- 520
Masaa machache yaliyopita kamanda Zitto ka tweet ujumbe huu...
Zittokabwe: Naingia kambini 835KJ. Kwaherini kwa muda kidogo hapa twitani. Nawatakia ndugu zetu wa #Kenya uchaguzi wa amani kesho na wachague #Change
Binafsi namtakia Zitto kila la kheri, atoke kambini akiwa amewiva zaidi. #AmiriJeshiMkuu
Zittokabwe: Naingia kambini 835KJ. Kwaherini kwa muda kidogo hapa twitani. Nawatakia ndugu zetu wa #Kenya uchaguzi wa amani kesho na wachague #Change
Binafsi namtakia Zitto kila la kheri, atoke kambini akiwa amewiva zaidi. #AmiriJeshiMkuu