Zitto ndani ya 835KJ

Zitto ndani ya 835KJ

Kwani wabunge wote wameambiwa waende jeshini? Sielewi jamani nielewesheni
 
Kwani wabunge wote wameambiwa waende jeshini? Sielewi jamani nielewesheni
Ilikua ni hiari, kwa wale ambao hawakupata fursa ya kuhudhuria, walipewa nafasi ya kujiandikisha ili waweze kuhudhuria mafunzo hayo
 
Nakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa.
(ccm itatawala milele)
 
Kila la heri. Ingawa muda ni mfupi, bilashhaka utasaidia kujenga na kuimarisha ujasiri na uzalendo. Viongozi maselule wameizamisha pabaya nchi yetu.
 
Nakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa.
(ccm itatawala milele)
Utakuwa umechanganya habari.
 
Ilikua ni hiari, kwa wale ambao hawakupata fursa ya kuhudhuria, walipewa nafasi ya kujiandikisha ili waweze kuhudhuria mafunzo hayo

Wakuu hebu nipeni habari kamili camp ni miezi mingapi nataka na mimi niende.
 
835KJ ni Mgambo JKT . Kilometa kama 15 kutoka Kabuku njia kuu ya Tanga, Arusha na Dar na zaidi ya maili 9 hivi

Wakulima wazuri wa mahindi na Machungwa wenye zaidi ya hekta 300 kila zao
 
Nakutakia zitto jeshi jema.isije ikawa ni janja ya ccm kuwamaliza. Chcochote kitakachowapata jkt nchi hii haitatawalika
 
Hivi na sisi ambao hatukupitia tunaweza kwenda? Nauliza tu jamani au ni offer kwa wabunge tu,anayejua taratibu za kwenda anijuze.
 
835KJ ni Mgambo JKT . Kilometa kama 15 kutoka Kabuku njia kuu ya Tanga, Arusha na Dar na zaidi ya maili 9 hivi

Wakulima wazuri wa mahindi na Machungwa wenye zaidi ya hekta 300 kila zao
Ongeza na zao la muhogo, nafikiri ni zaidi ya km 15, nilikuwa pale '93
 
Nakutakia kila la kheri, kwa kipindi utakachokuwa jkt. Tunakuombea ukajengewe uzalendo zaidi, utoke ukiwa mwana-ccm, mzalendo, aliyeiva sawasawa.
(ccm itatawala milele)

:tape2::boink:
 
Back
Top Bottom