zito ndio ameshikilia uhai wa chadema, bila zito chadema ingekuwa imekufa siku nyingi sana, hata mtei anafahamu
pole sana kaka CDM ilikuepo na itakuepo kwa sapoti ya watz na co MSALITI ZITTO
zito ndio ameshikilia uhai wa chadema, bila zito chadema ingekuwa imekufa siku nyingi sana, hata mtei anafahamu
pole sana kaka CDM ilikuepo na itakuepo kwa sapoti ya watz na co MSALITI ZITTO
pole sana kaka CDM ilikuepo na itakuepo kwa sapoti ya watz na co MSALITI ZITTO
Mzimu wa Zitto bado unaitafuna CHADEMA kwa nguvu zote.
Zito anawatesa sana chadema..ndo tatizo la mwenye akili mmoja anapojichanganya na vilaza wengi..
Nyie ndio mlio mtuma Zito kuharibu chademaZito ni maarufu kuliko chadema
kutaka kugombea uenyekiti wa chama ndio usaliti? na mbowe anaekula ruzuku sio msaliti? au kwa sababu ni mchaga?
Yes. Tumfukuze kwanguvu.
Kiukweli nayachukia maccm lakini kwa ubaguzi huu wa chagadema dhidi ya zitto ni bora hayo maccm yaendelee tu....mbaya zaidi wafuasi wa chadema wanaonekana kuwa wamezaji wa lolote kutoka kwa viongozi hata kama ni pumba.
ww unaongea nini ZZK hata kwao Kigoma hawamtaki kwa sababu ya usaliti
Zitto Zuberi Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini CHADEMA(sasa Mbunge wa Mahakama) nampa grace period ya wiki moja ya kufungaisha chochote alichobakisha katika ofisi yeyote ya CHADEMA(sijui kama vipo) na kuondoka. Upo CHADEMA ili iweje,hatukutaki!
Ulivyovimba kichwa ulidhani bila CHADEMA ungekuwa mwenyekiti wa PAC, ungekuwa mbunge wa Bunge la Katiba, ungejulikana kimataifa.
Tunazo sababu za kukulazimisha kuondoka CHADEMA kinguvu. Mbali na mikakati unayoifanya vichakani, lakini yapo haya ya wazi:-
1.Umehusishwa na njama za kutungua helkopta iliyotumiwa na katibu kipenzi chetu Dr.Slaa. Madiwani wa Shinyanga wamekuumbua. Hujakanusha Silence means YES
2.Umehusishwa na mipango ya kubambikiza wanachama ugaidi. Kwa macho na masikio yangu nimekushuhudia Star TV ukiwa na Mwigulu Nchemba mkitangaza kuwa mna mkanda wa video ukionyesha vigogo wa CHADEMA wakipanga ugaidi. Nasema mkitangaza kwa kuwa yalipotamkwa haya na Mwigulu wewe ulikuwa pembeni yake, ukiwa kama Naibu Katibu Mkuu hukukanusha wala kuonyesha kukerwa na propaganda hizo zilizovuka mipaka. Silence means YES
3.Katika mwendelezo wa kubambikiza kesi za Ugaidi ukaendeleza unafiki wako wakati Kamanda Lwakatare Lwax akiwa sero wewe ulikiandikia barua chama kwamba kijiweke mbali na kesi ya Lwakatare, bishaaa. Nikuulize wewe Msaliti Mkuu yupo wapi Lwakatare?
Kama hutaki kufungaisha virago tupe sababu za msingi kwa nini unaona ubaki kuwa mwana CHADEMA. Imebidi nifikishie ujumbe wangu kwa MM na ACT nzima
My Take:-Makamanda na wapenda mabadiliko wote niungeni mkono katika hili. Mods msifute, kama inawauma muiteni aje ajibu kwa nini tusimfurumushe
Kiukweli nayachukia maccm lakini kwa ubaguzi huu wa chagadema dhidi ya zitto ni bora hayo maccm yaendelee tu....mbaya zaidi wafuasi wa chadema wanaonekana kuwa wamezaji wa lolote kutoka kwa viongozi hata kama ni pumba.