Nimesoma kikatuni gazeti la Majira leo limenichekesha sana. Inaonekana Zitto akiwa ameshika bendera ya chadema akiwa amejifunika magazeti yaliyoandikwa sakata la dowans huku akiwa amelala fofofo. Kipanya akijiuliza, ingekuwa enzi zake TZ ingewaka moto kuhusu sakata la dowans. Nami najiuliza Zitto wamempa nini hadi amekuwa kama kondoo? Kijana alikuwa na political future nzuri amejiua maskini. Pole zake