Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
January Makamba is nothing, hawezi kuwekwa kundi la wale waliotafuta njia yao wenyewe bila kupitia migongo ya majina ya baba zao.
Hana cha kutisha ni mnafiki wa akili na fikra.
Yeye hasumbuliwi kwa namna yoyote na maisha magumu wanayokabili watanzania walio wengi.
Sio mfano mzuri kwa vijana wa kizazi hiki. Hatufai.
Hana cha kutisha ni mnafiki wa akili na fikra.
Yeye hasumbuliwi kwa namna yoyote na maisha magumu wanayokabili watanzania walio wengi.
Sio mfano mzuri kwa vijana wa kizazi hiki. Hatufai.